Usiogope kula Kuku wa kisasa (Broiler), Fanya hivi

Azarel

JF-Expert Member
Aug 25, 2016
26,104
34,060
Heri ya Krismasi Wadau wote,

Miaka ya hivi karibuni, sio kwenye vituo vya redio, mabango, sinema na hata kwenye mabasi Wengi wamekuwa wakizungumzia sana ubaya wa vyakula zaidi ya Uzuri wake.

Mathalan, utasikia Mtu anakuambia usinywe kabisa Kahawa ina sumu ya Caffein, usinywe chai kwasababu ina caffein, usile nyama ya Kuku wa kisasa, usitumie mayai ya Kuku wa kisasa.

Ukimuuliza huyo anayesema hivyo kuwa ulisomea wapi Nutrition? Hana jibu

Ukimuuliza kuwa mtu mwenye afya nzuri (Heathly person) anapaswa kupata caffeine kiasi gani kwa siku mwilini....hajui

Ukimuuliza umuhimu wa Caffeine mwilini....Hajui.

SWALI : Ni kwanini hawa wageni kutoka nchi zilizoendelea hasa USA na EUROPE wakija katika mazingira yetu wanatumia Kuku hawahawa broiler na ni walevi wa Kahawa kila siku lakini bado life span yao ipo juu zaidi yetu kabisaa?

NI HIVII:

BROILERS hawana matatizo kiasi kikubwa kama inavyoaminika kwa wengi (side effects)

Cha muhimu sana unapopata hawa kuku wa nyama basi ujue namna bora ya kuwaandaa au uandaliwe. Wengi wanaotumia na wataalamu wa Afya wanasisitiza utumie Boneless & Skinless chicken.

Yaani katika kumuandaa unamtoa manyoa, miguu na papatio na kisha unabakiwa na ile steki tu. Pia unaondoa ile ngozi ya juu kwani ngozi pamoja na mifupa ndiyo yenye madhara.

Njia nyingine, unaweza kumuandaa kwa kumchemsha kabisa kisha ukamwaga yale maji yote / supu ndipo umroast au umpike

Njia ya mwisho ni kwa kumwekea viungo tiba vinavyoweza kuondoa unneccesary fat na kuondoa uwezekano kupata cholestral au obesity kwa 100%. Viungo hivyo ni Tangawizi, Limao na Kitunguu saumu...BASI, hakikisha vinaiva na kuku.

Kuhusu vyakula anavyokula Kuku wa kisasa na wa kienyeji wa mjini ni kilekile either Mash au Pellets...hivyo utamkuta mtu anasifia kula kuku wa kienyeji ambaye pia alilishwa chakula cha kiwandani, alipata chanjo ya minyoo, gombolo, kideri na ndui, je huyo hana madhara?

Boneless & Skinless chickens are the best no matter ni Broiler au wa kienyeji.

Nakaribisha maswali ikiwa yapo.
 
Na hao hao wazungu wakija huko kwenu wanakuja na kuku wao, au hoteli zao wanaagiza kuku kutoka kwao... sisi ni wajuaji kuliko mabeberu?
 
Heri ya Krismasi Wadau wote,

Miaka ya hivi karibuni, sio kwenye vituo vya redio, mabango, sinema na hata kwenye mabasi Wengi wamekuwa wakizungumzia sana ubaya wa vyakula zaidi ya Uzuri wake.

Mathalan, utasikia Mtu anakuambia usinywe kabisa Kahawa ina sumu ya Caffein, usinywe chai kwasababu ina caffein, usile nyama ya Kuku wa kisasa, usitumie mayai ya Kuku wa kisasa.

Ukimuuliza huyo anayesema hivyo kuwa ulisomea wapi Nutrition? Hana jibu

Ukimuuliza kuwa mtu mwenye afya nzuri (Heathly person) anapaswa kupata caffeine kiasi gani kwa siku mwilini....hajui

Ukimuuliza umuhimu wa Caffeine mwilini....Hajui.

SWALI : Ni kwanini hawa wageni kutoka nchi zilizoendelea hasa USA na EUROPE wakija katika mazingira yetu wanatumia Kuku hawahawa broiler na ni walevi wa Kahawa kila siku lakini bado life span yao ipo juu zaidi yetu kabisaa?

NI HIVII:

BROILERS hawana matatizo kiasi kikubwa kama inavyoaminika kwa wengi (side effects)

Cha muhimu sana unapopata hawa kuku wa nyama basi ujue namna bora ya kuwaandaa au uandaliwe. Wengi wanaotumia na wataalamu wa Afya wanasisitiza utumie Boneless & Skinless chicken.

Yaani katika kumuandaa unamtoa manyoa, miguu na papatio na kisha unabakiwa na ile steki tu. Pia unaondoa ile ngozi ya juu kwani ngozi pamoja na mifupa ndiyo yenye madhara.

Njia nyingine, unaweza kumuandaa kwa kumchemsha kabisa kisha ukamwaga yale maji yote / supu ndipo umroast au umpike

Njia ya mwisho ni kwa kumwekea viungo tiba vinavyoweza kuondoa unneccesary fat na kuondoa uwezekano kupata cholestral au obesity kwa 100%. Viungo hivyo ni Tangawizi, Limao na Kitunguu saumu...BASI, hakikisha vinaiva na kuku.

Kuhusu vyakula anavyokula Kuku wa kisasa na wa kienyeji wa mjini ni kilekile either Mash au Pellets...hivyo utamkuta mtu anasifia kula kuku wa kienyeji ambaye pia alilishwa chakula cha kiwandani, alipata chanjo ya minyio, gombolo, kideri na ndui, je huyo hana madhara?

Boneless & Skinless chickens are the best no matter ni Broiler au wa kienyeji.

Nakaribisha maswali ikiwa yapo.
Ushauri Muafaka ambao nao pia umetolewa ( umekuja ) wakati Muafaka wa Siku Kuu hizi Kubwa mbili za mwisho wa Mwaka japo Wadoeaji tupo.
 
Ukimuuliza kuwa mtu mwenye afya nzuri (Heathly person) anapaswa kupata caffeine kiasi gani kwa siku mwilini....hajui

Ukimuuliza umuhimu wa Caffeine mwilini....Hajui.

Nakaribisha maswali ikiwa yapo

.


Swali la kwanza
umuhimu wa CAFFEINE ni nini mwilini

Swali la piri
Mtu mwenye afya njema anapaswa kupata caffeine kiasi gani kwa siku mwilini

Swali la tatu
Mtu mwenye afya dhoofu anapatwa kupata caffeine kiasi gani kwa siku

Swali la nne
Watoto wadogo chini ya miaka 5 mpk 1
Wanapaswa kupata kiasi gani kwa siku

Swali la tano
unajua vipi kama kipimo ndio hicho sahihi kwa condition ya afya yako

Swali la sita
CAFFEINE kama CAFFEINE ni nini

Swali la saba
Upungugufu wa CAFFEINE mwilini hudhoofisha nini katika mwili na huleta ugonjwa upi

Swali la nane CAFFEINE ya vinywaji vya viwandani kama SODA energr drink nk
Na CAFFEIN inayotopatikana katika Vinywaji vya asiri kam kahawa nk
Nini utofauti wao na ipi bora na kwann


Akhsante sana CHIEF nitafurahi ukiniongezea elimu km ulivyotuongezea elimu hapo katika kuku wa kienyeji
 
Nicotine ile si tumbaku!
Ipo mkuu
Screenshot_20201224_163415.jpg
 
Mkuu

Noamba kujua madhara ya kunywa kahawa

( Emericano) Pure Black Coffee

Shukrani!
 
Swali la kwanza
umuhimu wa CAFFEINE ni nini

Swali la piri
Mtu mwenye afya njema anapaswa kupata caffeine kiasi gani kwa siku mwilini

Swali la tatu
Mtu mwenye afya dhoofu anapatwa kuoata caffeinr kiasi gani kwa siku

Swali la nne
Watoti wadogo chini ya miaka 5 mpk 1
Wanapaswa kutumia kiadi gani kwa siku

Swali la tani
unajua vipi kama kipimo ndio hicho sahihi kwa afya yako

Swali la sita
nini umuhimu wa CAFFEINE mwilini

Swali la saba
Upungugufu wa CAFFEINE mwilini hudhoofisha nini katika mwili na huleta ugonjwa upi

Swali la nane CAFFEINE ya vinywaji vya viwandani kama SODA energr drink nk
Na CAFFEIN inayotopatikana katika Vinywaji vya asiri kam kahawa nk
Nini utofauti wao na ipi bora na kwann


Akhsante sana CHIEF nitafurahi ukiniongezea elimu km ulivyotuongezea elimu hapo katika kuku wa kienyeji
Caffeine ni stimulant ya mwili. Ina saidia kuchangamsha mwili na kuupa boost.....
Screenshot_20201224_163719.jpg
 
Swali la kwanza
umuhimu wa CAFFEINE ni nini mwilini

Swali la piri
Mtu mwenye afya njema anapaswa kupata caffeine kiasi gani kwa siku mwilini

Swali la tatu
Mtu mwenye afya dhoofu anapatwa kupata caffeine kiasi gani kwa siku

Swali la nne
Watoto wadogo chini ya miaka 5 mpk 1
Wanapaswa kupata kiasi gani kwa siku

Swali la tano
unajua vipi kama kipimo ndio hicho sahihi kwa condition ya afya yako

Swali la sita
CAFFEINE kama CAFFEINE ni nini

Swali la saba
Upungugufu wa CAFFEINE mwilini hudhoofisha nini katika mwili na huleta ugonjwa upi

Swali la nane CAFFEINE ya vinywaji vya viwandani kama SODA energr drink nk
Na CAFFEIN inayotopatikana katika Vinywaji vya asiri kam kahawa nk
Nini utofauti wao na ipi bora na kwann


Akhsante sana CHIEF nitafurahi ukiniongezea elimu km ulivyotuongezea elimu hapo katika kuku wa kienyeji
U may not believe this :-

FAIDA / BENEFITS

Caffeine inayopatikana katika kahawa ni nzuri sana katika kutunza kumbukumbu

Caffeine inayopatikana katika Chai ni nzuri sana katika kutoa uchovu mwilini

Caffeine inayopatikana katika chai ni nzuri sana kwa kukuletea usingizi mzuri

Unapotumia Kahawa ofisini (for majority) inaweza kukupa nguvu ya mwili na macho na kufanya kazi vizuri.

MATUMIZI :

Kwa Mtu wa kawaida ambaye ni mzima kabisa asiye na BP anapaswa kutumia 400milligrams, sawa na Vikombe vinne kila siku, hiyo ni kawaida kabisa.

Caffeine ya kwenye soda inakuwa na madhara kwasababu inachanganyika na preservatives ambayo imewekwa kufanya soda Cocacola idumu kwa muda mrefu na wala si kwasababu ina content nyingi.
 
Hakuna madhara, kuna faida tu...madhara ni pale utakapozidisha na uwe na tatizo la moyo.
Napenda sana hiyo kinywaji hasa nikifika kwa hotel

lakini wadau wanasema natengeneza matatizo,


kipimo kikoje ambacho hakiwezi athiri utaratibu
 
Kwa Mtu wa kawaida ambaye ni mzima kabisa asiye na BP anapaswa kutumia 400milligrams, sawa na Vikombe vinne kila siku, hiyo ni kawaida kabisa.

Ok natumai unaendelea kunijibu zaidi

400 milligrams au 400 millilitres

Au unamaanisha kila milligrams 100 katika millilitres 100

Je kuna madhara ikiwa nikiadd milligrams 400 yote katika kikombe kimoja cha millilitres 100
 
EMPTY SET kabisa, hata ile nutrient/ladha iliyosalia inaondoka
Mkuu hata nyama ya Ng'ombe unapaswa kufanya hivyo ili usiweze kupatwa na Brussella. Ni sawa na kuchemsha maziwa

Lakini sasa kwa sisi wa kaskazini umwambie Mchagga, Mmeru au Mmasai achemshe supu amwage...utapasuliwa.

But that's the best preparation for ua health ikiwa una wasiwasi na hiyo nyama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom