Usioe haraka mwanamke anayependa pesa

Usioe haraka mwanamke anayependa pesa

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,086
Sijasema usioe mwanamke anayependa pesa bali usioe haraka mwanamke anayependa pesa.

Kwanini
Kwasababu baadaye atakusumbua Sana.

Kama unampenda mpe muda wa kubadilika anaweza kubadilika mimi naamini wanadamu wanabadilika.

Hivyo mpe muda huku ukitengeza modo ya kumzoeza kuishi bila kutegemea pesa zako. Mwisho wa siku atazoea tu.

Ni hayo tu.
 
Nyie nanyi mmachosha kweli kweli. Nani asiyependa pesa kwenye hii dunia???

In all honesty wote tunapenda pesa, wanaume kwa wanawake, wakubwa kwa wadogo. Tofauti inakuja pale tu...mpendaji anapokuwa sio mtafutaji ama yuko tayari kuutoa utu wake for a coin. FULL STOP!!!
 
Nyie nanyi mmachosha kweli kweli. Nani asiyependa pesa kwenye hii dunia???

In all honesty wote tunapenda pesa, wanaume kwa wanawake, wakubwa kwa wadogo. Tofauti inakuja pale tu...mpendaji anapokuwa sio mtafutaji ama yuko tayari kuutoa utu wake for a coin. FULL STOP!!!
Lizzy uko wapi tunaomba utueleze.
vyanzo vyako vya pesa ya kila siku
 
Nyie nanyi mmachosha kweli kweli. Nani asiyependa pesa kwenye hii dunia???

In all honesty wote tunapenda pesa, wanaume kwa wanawake, wakubwa kwa wadogo. Tofauti inakuja pale tu...mpendaji anapokuwa sio mtafutaji ama yuko tayari kuutoa utu wake for a coin. FULL STOP!!!
Nyie mnapenda pesa ambazo hamzitolea jasho
 
Nyie nanyi mmachosha kweli kweli. Nani asiyependa pesa kwenye hii dunia???

In all honesty wote tunapenda pesa, wanaume kwa wanawake, wakubwa kwa wadogo. Tofauti inakuja pale tu...mpendaji anapokuwa sio mtafutaji ama yuko tayari kuutoa utu wake for a coin. FULL STOP!!!
Pesa za kuhongwa
 
Kwani we zako unazitafutaje??? Vyanzo vyako vya pesa ni vipi???
Mimi nafanya kazi, siombi pesa ya mtu, wala sio ombaomba kama wanawake wa kitanzania. Sijui huwa wanawaza nini kuwa ombaomba utazani umezaliwa kuwa wasindikizaji. Akili zinawaza hips na nywele tu.
 
Mimi nafanya kazi, siombi pesa ya mtu, wala sio ombaomba kama wanawake wa kitanzania. Sijui huwa wanawaza nini kuwa ombaomba utazani umezaliwa kuwa wasindikizaji. Akili zinawaza hips na nywele tu.
Nami hivyo hivyo....
Pia nikikwama nakopa kwa marafiki zangu. Next question......🙂🙂
 
Mimi nafanya kazi, siombi pesa ya mtu, wala sio ombaomba kama wanawake wa kitanzania. Sijui huwa wanawaza nini kuwa ombaomba utazani umezaliwa kuwa wasindikizaji. Akili zinawaza hips na nywele tu.
Mwanamke mzuri ni yule mjanja wa kubuni miradi midogo midogo ili aishi. Hii tabia ya kuomba omba hela siipendi kama nn yan!
 
Back
Top Bottom