Usioe bar maid ukitegemea atabadilika

Usioe bar maid ukitegemea atabadilika

Wana uwezo mkubwa sana wa kujifanya wameacha tabia zao za kuuza nanihii, lakini ukweli ni kwamba hawa watu wameshaathirika kisaikolojia hawaridhiki kuwa na mwanaume mmoja, hata umpe nini akipata upenyo tu lazima acheat, Kama umeoa bar maid na huamini nisemayo weka mitego utamnasa tu,ni afadhali uoe changudoa kuliko bar maid.
Mbwa ni mbwa ata umpe jina,tuishi nao kwa akili
 
Ngedere ni ngedere tyuuu.......hata umfuge kwa mitindo iliyo bomba vipi akiona pori atakumbuka na kurudi.Huwa hawaachi haswa hao makahaba,huwa kuna wateja wao wa heshima na mpaka namba wanazikariri,hao muda wowote wakiwahitaji ujue wanakwend kupasha viporo
 
Ngedere ni ngedere tyuuu.......hata umfuge kwa mitindo iliyo bomba vipi akiona pori atakumbuka na kurudi.Huwa hawaachi haswa hao makahaba,huwa kuna wateja wao wa heshima na mpaka namba wanazikariri,hao muda wowote wakiwahitaji ujue wanakwend kupasha viporo
Kweli kabisa, nyani hata umpe nini akiwa ndani ya nyumba bado atakuwa anawaza porini
 
Wana uwezo mkubwa sana wa kujifanya wameacha tabia zao za kuuza nanihii, lakini ukweli ni kwamba hawa watu wameshaathirika kisaikolojia hawaridhiki kuwa na mwanaume mmoja, hata umpe nini akipata upenyo tu lazima acheat, Kama umeoa bar maid na huamini nisemayo weka mitego utamnasa tu,ni afadhali uoe changudoa kuliko bar maid.
Mkuu pole yaliyokukuta...
 
jihadhari na wewe
Kwenye mapenzi mtu aoni ingawa macho anayo...hamna ujanja mkuu, na ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu..njiani unaopoa mrembo unajua mtoto wa oysterbay kumbe bar maid, ni kuomba mungu tu upate mke mwema mkuu.
 
Kwenye mapenzi mtu aoni ingawa macho anayo...hamna ujanja mkuu, na ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu..njiani unaopoa mrembo unajua mtoto wa oysterbay kumbe bar maid, ni kuomba mungu tu upate mke mwema mkuu.
Ni afadhali ukutane naye njiani ukamuoa pasipo kujua kuliko ukatangaza ndoa hukohuko bar
 
Kwanini asibadilike? Kwani utaendelea kumwacha auze bar baada ya Kumuoa? Au utamuachisha?
 
Sasa utaoaje bar maid kwa mfano?
Umekosa wanawake ama?
 
Back
Top Bottom