Usioe bar maid ukitegemea atabadilika

Usioe bar maid ukitegemea atabadilika

Wengine wanaifanya hiyo kazi (barmaid) kwa shida tu kiasi kwamba akipata mme anabadilika na kuwa mke mzuri. Wawezaoa ambaye hakuwa barmaid wala changudoa lakini akawa mwepesi wa kuacha "njia kuu"!
 
Ipo tofauti kati ya samaki maji chumvi na baridi,changudoa hana mtu wa kudumu naye yeyote aliyeko mbali yake halali yake, lakini bar maid ana wateja wa kudumu na namba za simu
Hapo tofauti iko wapi? Hata changudoa anaweza kuwa na namba za simu za wateja wake. Kuna barmaid ambao akimaliza kazi huenda kujiuza to make ends meet.
 
Wengine wanaifanya hiyo kazi (barmaid) kwa shida tu kiasi kwamba akipata mme anabadilika na kuwa mke mzuri. Wawezaoa ambaye hakuwa barmaid wala changudoa lakini akawa mwepesi wa kuacha "njia kuu"!
Ni kweli, ila akishafanya hivyo kwa muda mrefu mwili unazoea kufanya mambo yale na wanaume tofauti tofauti, kuolewa kwake ni Kama kuwekwa kizuizini hata kama utampa mahitaji yote.
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Hapa rombo deluxe kaloleni Arusha kuna bar maid mbulu anagawa uchi hadi kwa wateja wa vyumbani
 
Hapo tofauti iko wapi? Hata changudoa anaweza kuwa na namba za simu za wateja wake. Kuna barmaid ambao akimaliza kazi huenda kujiuza to make ends meet.
Sasa bora yupi changudoa, bar maid na bar maid changudoa?
 
weka picha zao barmaid na changudoa ,tuone
add0ef4181b0d8d258a4b1576dafbdbd.jpg
135ff479c6124717d8d627b100708b42.jpg
 
Back
Top Bottom