Usioe bar maid ukitegemea atabadilika

Usioe bar maid ukitegemea atabadilika

ndandambuli

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2017
Posts
973
Reaction score
665
Wana uwezo mkubwa sana wa kujifanya wameacha tabia zao za kuuza nanihii, lakini ukweli ni kwamba hawa watu wameshaathirika kisaikolojia hawaridhiki kuwa na mwanaume mmoja, hata umpe nini akipata upenyo tu lazima acheat, Kama umeoa bar maid na huamini nisemayo weka mitego utamnasa tu,ni afadhali uoe changudoa kuliko bar maid.
 
Wana uwezo mkubwa sana wa kujifanya wameacha tabia zao za kuuza nanihii, lakini ukweli ni kwamba hawa watu wameshaathirika kisaikolojia hawaridhiki kuwa na mwanaume mmoja, hata umpe nini akipata upenyo tu lazima acheat, Kama umeoa bar maid na huamini nisemayo weka mitego utamnasa tu,ni afadhali uoe changudoa kuliko bar maid.
wanabadirika sana. Mmoja alikuwa mwislamu akaolewa na mkristo, akaamua kuokoka na sasa ni Pastor
 
Wana uwezo mkubwa sana wa kujifanya wameacha tabia zao za kuuza nanihii, lakini ukweli ni kwamba hawa watu wameshaathirika kisaikolojia hawaridhiki kuwa na mwanaume mmoja, hata umpe nini akipata upenyo tu lazima acheat, Kama umeoa bar maid na huamini nisemayo weka mitego utamnasa tu,ni afadhali uoe changudoa kuliko bar maid.
Changudoa na barmaid ni hao hao tu. Mmoja ni kibua, mwingine tasi. Wote ni samaki wa maji chumvi.
 
Changudoa na barmaid ni hao hao tu. Mmoja ni kibua, mwingine tasi. Wote ni samaki wa maji chumvi.
Ipo tofauti kati ya samaki maji chumvi na baridi,changudoa hana mtu wa kudumu naye yeyote aliyeko mbali yake halali yake, lakini bar maid ana wateja wa kudumu na namba za simu
 
wanabadilika mbona nawajua kama 20 wana mini zao na watoto wengine na wajukuu kabisa
 
Back
Top Bottom