Usinywe TENA Dawa Hizi TANO ( 5 ) Ukiwa Na MALARIA

Usinywe TENA Dawa Hizi TANO ( 5 ) Ukiwa Na MALARIA

1765473708926.png

SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE
🌿

☪️
Tiba Asili ya Malaria na Maradhi Mengine
🌱
PAKANGA / FIVI
🌱

(Artemisia annua)
📌
Tiba hii ya asili imethibitishwa kwa:

✅
Malaria sugu na homa kali
✅
Changamoto za mfumo wa upumuaji (asthma, mafua, kikohozi)
✅
Kisukari
✅
Kuongeza kinga za mwili
✅
Homa ya ini
✅
Kuondoa sumu mwilini
✅
Arthritis
✅
Saratani na maradhi mengine sugu
🌿
MAELEZO YA KISAYANSI:
Mmea huu unajulikana kitaalamu kama Artemisia annua, unaotumika kutengeneza dawa maarufu kama Coartem na Lumartem. Dawa hizi hutokana na kiambato cha Artemisinin, kinachopatikana kwenye mmea huu na kuunganishwa na Lumefantrine ili kutibu malaria.
Hata bila kutenganishwa kemikali hiyo, mmea huu bado una uwezo mkubwa wa kutibu malaria na homa kali.
💊
MATUMIZI KWA MALARIA:
1. Chukua gramu 100 za majani makavu ya Pakanga
2. Chemsha kwenye maji lita 1 na robo, hadi yabaki lita 1
3. Tumia vikombe viwili vya kahawa kwa siku mara 2 kwa siku 3 mfululizo
 
Back
Top Bottom