Habari wapendwa poleni na majukumu.
Mimi nikijana mjasiriamali na nimekua nikipita kwenye supermarket nyingi kuangalia bidhaa zinazozalishwa hapa nchini, na mojawapo niliyo kutananayo ni Maziwa fresh kutoka Tanga na Kilimanjaro nikatokea kuvutiwa nayo.
Kwa ufupi ni kwamba, naomba mtu mwenye ujuzi wa jinsi ya kusindika anisaidie /atusaidie kutupa elimu ya usindikaji wa mazi wa fresh.
Barikiwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nikijana mjasiriamali na nimekua nikipita kwenye supermarket nyingi kuangalia bidhaa zinazozalishwa hapa nchini, na mojawapo niliyo kutananayo ni Maziwa fresh kutoka Tanga na Kilimanjaro nikatokea kuvutiwa nayo.
Kwa ufupi ni kwamba, naomba mtu mwenye ujuzi wa jinsi ya kusindika anisaidie /atusaidie kutupa elimu ya usindikaji wa mazi wa fresh.
Barikiwa sana.
Sent using Jamii Forums mobile app