Heavy Weight
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 888
- 875
- Thread starter
- #241
Hapana mkuu, si wa kwanza. Nilijaribu tu ku share hiki kisa. Kwasababu wahanga ni wengi.Duh umeandika gazeti. Nadhani ndio demu wako wa kwanza huyo
Hapana mkuu, si wa kwanza. Nilijaribu tu ku share hiki kisa. Kwasababu wahanga ni wengi.Duh umeandika gazeti. Nadhani ndio demu wako wa kwanza huyo
Haswaa mkuu, hilo ndo lilikua lengo kuu.Kajaribuu kutoa somo tuu bab
Sio rahisi kukubali. Anaweza kubisha hadi ukajihisi unamsingizia. Ndiomaana tuliambiawa tuishi nao kwa akiliSiku ya kwanza nimefuma ujinga kwenye simu,halaf nikakausha, nikamuuliza maswali ya kumchora tu; ilikuwa psychological experiment ya kutosha ya kugundua kuwa wanawake ni cold hearted liars. Tena ukizingatia alikuwa mpole, classic, strict na wife material, basi hiyo siku nilinyoosha mikono. Nikasema ujanja wangu wote wa kuwachezea hawa viumbe, kweli siwajui.
That day, a monster was born.
Kwako wewe haudhani, ila sasa nafikiri ukipendana na mtu unajua kilichomo kwenye moyo wake, ndio maana unasema hivyo.
But let me advise you, before falling in love, make a copy of your heart leave it behind, just incase!!
Hapana mkuu hilo sio jina lake.Write your reply...huyo binti namfahamu anaitwa Khadija
Nilijua unazungumzia ile whatsapp web officialKuna application inaitwa whats web ipo play store inafanya kazi vile vile kama whatsapp web kwenye pc.View attachment 813912
sawa bwana pole sana naona demu alikuzidi ujanja kiaina maana kama ana mtu kumi kukupoteza wewe sio issue kwake issue ni wewe uliyekuwa na demu mmoja na ukampoteza woteHapana mkuu, si wa kwanza. Nilijaribu tu ku share hiki kisa. Kwasababu wahanga ni wengi.
wewe ndio mwenye demu? au watu mna log in kwa majina tofautiKajaribuu kutoa somo tuu bab
Kweli kabisa. Anabisha mpaka unajishtukia mwenyewe.Sio rahisi kukubali. Anaweza kubisha hadi ukajihisi unamsingizia. Ndiomaana tuliambiawa tuishi nao kwa akili
Kweli hata me ndo nilivyoona hana cha kupoteza, japo aliendelea kunisumbua nikawa nampotezea.sawa bwana pole sana naona demu alikuzidi ujanja kiaina maana kama ana mtu kumi kukupoteza wewe sio issue kwake issue ni wewe uliyekuwa na demu mmoja na ukampoteza wote
Ok sawaMe hana mapumziko, ukikutana na anayetaka mapumziko basi jua hakuna kitu, mbegu kila siku zinazakishwa, kadili unavyozitoa ndivyo zinavyozalishwa
siku nyingine ukiona demu anaanza kukuonesha wenge kama kutopokea simu au kutojibu msg kwa wakati ujiongeze mapema halafu uwe na demu wa Akiba usitegemee demu mmoja tu kama mama yako mzazi kuwa na wawili watatu akizingua huyu unahamisha majeshi kwa yuleKweli hata me ndo nilivyoona hana cha kupoteza, japo aliendelea kunisumbua nikawa nampotezea.
Naam hapo ndipo tunapojifunza siku hadi siku. Makosa hayawezi kujirudia. Japo aliendelea kutaka nimrudie nikampotezeaat first ulianza vizuri kutomuambia makosa yake jus direct ..ulipaswa muacha vile vile ajiulze maswali had achoke mradi wewe ndo unaejua ukweli kumuhusu yeye ...
ukaja kuaribu baada ya kumwambia makosa yake then later on akaonesha kukudharau na kukuuliza maswali ya ajabu
hapo unakuwa umempa nafasi ya kushinda wakati mwanzo ulishinda wewe ...
NB ..mueleze mtu makosa yake yule unaetaka rudiana nae au uko tayari kurudiana nae ila kama haurud A simple text like it ova btn us is more than enough