Heavy Weight
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 888
- 875
- Thread starter
- #261
Yani apo ndio kawapa nafasi. Yani kujiua na wanawake wengi hiviKujiua si ndiyo kawaachia uwanja wakufaudu
Yani apo ndio kawapa nafasi. Yani kujiua na wanawake wengi hiviKujiua si ndiyo kawaachia uwanja wakufaudu
AhsanteeeKama unatumia Anroid ukienda google playstore kuna app inaitwa WHATS WEB CHAT....
Unaidownload halafu ukipata simu ya huyo wifi yangu unaingia whatsapp kune settings kuna sehemu ya whatsapp web.
Then kune simu yako utafungua hiyo app WHATS WEB CHAT...utascan sasa QR code ya inayoonekana hapo kune whatsapp web(kune simu ya wifi etu)....
Fafanua please!Nyinyi hamzingui???ujue kuna wanaume wabinafsi sanaa sijui unajua hilo eti?!
Hii njia safi sana mkuuHaya mi yalishanikuta ila mwisho wa siku nikaona ni upuuzi kuumiza kichwa kwa kumfikiria mtu asiyenifikiria na wala sikujua kama ntakutana nae so nikaanza kukaa kimya ,nikiwa mpweke naingia zangu bar naagiza mzinga wangu earphone zangu maskio taratiiibu najiburudisha siku inaisha
Ahsante mkuuNgoma nzito
Pole sana mkuu
Ahsante mkuu
Mtu Mzito HEAVY WEIGHT
Ahsante mkuuNimekuelewa mkuu
Pole sana
Ila ulikuwa jasiri sana na hukukurupuka
Big up mkuu
Na wewe ulimdukua mkuu?
Yeye sio mtaalam wa simu mkuu hakulitambua hilo nadhani alikua anahisi ni notification ya kawaida tu zinazotokea kwenye simu. Mana ni kweli ukiingia wasap web kwake inaleta notification ila kama mtu sio mfuatiliaji hawezi jua ni kitu gani.Sasa mkuuu ina maana huyo demu alikuw Hashtuki kuona ame hakiwa na wasap web? Maana ukii conect na wasap web kwenye notifcation bar inaonesha. Ina maane yeye hakutambua hilo?????
Any way nimeisoma had mwsho ipo so interesting, wengine tulijua hilo since under 18. Hawa watu siyo wakuwapa trust. Hadi now tuna cheza nao ngoma moja (ngote ngote)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijajua mkuu!PALE MZEE WA UPAKO ALIPOSEMA MNAPOKUWA FARAGHA NA MKEO NI KAHABA ALIKUWA AKIMAANISHA NINI?
Shukrani mkuu
MEN LIE,Hata wanawake nao wanasema usimuamini mwanaume na uwe na kiasi....
Women lies, men lies