Usimruhusu Aingie Chooni Kwako Huyu....

Usimruhusu Aingie Chooni Kwako Huyu....

funny_summer_pictures_28.jpg
Kama ni cha kutumia maji ni lazima ubomoe miundombinu yote ili kisafirishwe, maana ni mlima huo
 
Saaafi sana. Mwanamume unatakiwa unatoa kitu kizima. Maji tu hataweza kuflush mzigo huo bila kutumia chepe!!
 
akabidhiwe hifadhi ya mikumi itamfaa.

. . . . .Yes! Akaongeze mbolea ya kutosha! But the question is si atamaliza majani na wanyama wote huyu?

Mimi kwa wazo langu kuna yule msomali kiongozi wa chama fulani pale Africa Mashariki huwa anapenda sana ujangili. Tumuuzie huyo huyo, atajua pa kumuuza.
 
ndio maana hutakiwi kabisa kumruhusu aingie toilet kwako...

Mkuu mwambie Wapoti hao watu wanaitwa UTUMBO MPANA mwili unaweza kuwa mdogo tu, ila sahani zinapotea balaa.....
 
Last edited by a moderator:
. . . . .Yes! Akaongeze mbolea ya kutosha! But the question is si atamaliza majani na wanyama wote huyu?

Mimi kwa wazo langu kuna yule msomali kiongozi wa chama fulani pale Africa Mashariki huwa anapenda sana ujangili. Tumuuzie huyo huyo, atajua pa kumuuza.

umetisha!!!!!!!!!
 
au anaweza kuwa mtaji mzuri wa samadi...

...mkuu sio samadi tu, na mzigo ukiuchimbia shimo siku tatu tu umejaa, unaanza kuzalisha umeme mzigo unaobaki unapeleka shamba...
 
Back
Top Bottom