Usilolijua kuhusu Facebook

Makala yako ina uhalisia kabisa...,,,
Ila uzuri wa fb mtu yeyote anaitumia hasa kwa wale ambao hawana na wenye smartfone.
 
umesahau hii ndo mtandao pekee ambao unaongoza kwa mimba za utotoni & mizinga na kila mtu yupo adi ashura ndala ndefu
 
Umetoka mapovu sana ila hapo mwisho nimekuelewa aya hongera kwa kumiliki gari
 
Kuna mmoja kabashite laki kaandika kasoma chuo udsm hata ukimuambiaa i know you anakuuliza unamaanisha nn
 
Kwahiyo mkuu huko facebook kila mtu amesoma UDSM??

Kweli huo sio mtandao.. Vipi kuna watu wazima huko?.namaanisha watu kuanzia miaka 35 na kuendelea..
 
~Ni mahali ambapo kila mtu anajitahidi kufotoa picha mahali pazuri tofauti na uhalisia wake.
 
Sehemu ambapo kuna account nyingi za watu waliokwisha poteza maisha ( waliokufa)
 
upo sahihi nilishajitoaga mda sana ata application nilishatoa in my phone kila mtu UDSM jaman dah
Mkuu, hebu nielekeze namna ya kujitoa. Nimekua member since 2008 na nimeacha kutumia FB nadhani mara ya mwisho mwaka jana Augost, simu zangu zote nimetoa hiyo icon ya FB but still sijui namna ya kujitoa kabisa kabisa. Nielekeze mkuu, please nipo serious.
 
accout setting>security>deactivate account
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…