Usilolijua kuhusu Facebook

 
Jamaa unaonekana mtumiaji mzuri sana wa fb, maana uchambuzi wako hakika ni mtumiaji mzuri sana
Upo sahihi, kuna magroup fulani nimejiunga uwa yana nipa habari mubashara.
 
Mkuu umewaza kwa kina na nikweli usemayo nimemuomba bashite akupe cheti kimoja
 
Ni mahali ambapo Majini yanavaa sura ya mtu na kukuomba urafiki
ukikubali tu yanakungia na kuanza kukutesa na kukuhalibia maisha.
Ni mahali wachawi wanatumia kuwanasa watu wanaomkubali kila mtu anayewaomba urafiki
Hii ni kweli tupu.
Usikubali kubali urafiki kwa mtu usiyemjua wala kumfanyia utafiti. ID nyingi zinazotumika ni feki, picha za uongo hutumika kujitambulisha.
Jihadhalini.
 
Ni mahali ambapo kila mtu ni mkurugenzi na vikampuni fake viingiii
 
Sijasema kuko vibaya, ni vizuri mtu kusema ukweli kuliko kudanganya actually nilivutiwa na hilo jina ingeweza kuwa hata Tandale kwa mama zakaria.
Ila hilo jina nalo linafanya mtu adhani ni kama kwa mfuga mbwa au mtogore. Wabadilishe basi hata waite Kimara Magufuli au Kimara Makonda
 
Mtoa mada bado elimu yako ni kidogo sana au inawezekana umesoma ila hujaelemika.
Sio kweli kuwa kila kitu cha kimaendeleo kitakachokuja kitakuja na mazuri tuu. Unatakiwa ujue vipi vizuri as kwa upande wako na inategemea mtu na mtu anaamini vipi kuhusu uzuri wa kitu. Unataka watu waweke picha wakiwa wamevaa mavitenge tuu na mandhari yao ikiwa ni kwa mnyamani au manzese au mbagala? Ili nini kwa mfano? Binadamu wanapenda vitu vizuri tuu nikwambie usipate presha ukiona watu wako sehem nzuri au wana drive, hata kama mtu amepiga picha akiwa ana drive na hata kama gari sio lake sio tabu kwani mtu kuonyesha ana drive ni kitu kizuri, nani asiyependa kudrive? Unataka waweke wakitembea na watu hawapendi kutembea? Zamani wakati sijanunua gari nilikua napiga picha na magari ya wenzangu nadhani iliniongezea ari ya kutaka kununua langu siku moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…