Django
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 354
- 147
Kuna jamaa alifungwa jela miaka 7 kwa kosa la wizi wa mamilioni ya pesa. Baada ya miaka 2 akiwa jela anapata barua toka kwa babake, Mwanangu mpendwa umeniacha ktk hali ya uzee na maradhi, wakati wa kutayarisha shamba umefika, na sina mtu wa kunilimia, natamani ngekuwepo ukanisaidia kulima na kupanda mahindi. Tutaonana mungu akipenda.
Mtoto akajibu. Baba tafadhali usije lima ktk hilo shamba kwa sasa mpaka nitoke jela, pesa zote nilizoiba nimezifukia ktk shamba hilo.Kwa kuwa barua zote za wafungwa husomwa na polisi wa gerezani. Baba siku ya pili alipoamka akakuta polisi zaidi ya 100 wanalima shamba. Mpaka wakamaliza wasipate kitu. Mtoto akamwandikia babake. Mpendwa baba natumai msaada niliokupa umeufurahia, panda mahindi sasa Mjini akili shamba kilimo
Mtoto akajibu. Baba tafadhali usije lima ktk hilo shamba kwa sasa mpaka nitoke jela, pesa zote nilizoiba nimezifukia ktk shamba hilo.Kwa kuwa barua zote za wafungwa husomwa na polisi wa gerezani. Baba siku ya pili alipoamka akakuta polisi zaidi ya 100 wanalima shamba. Mpaka wakamaliza wasipate kitu. Mtoto akamwandikia babake. Mpendwa baba natumai msaada niliokupa umeufurahia, panda mahindi sasa Mjini akili shamba kilimo