Usikosee mchumba kwa kudharau tofauti hizi

Usikosee mchumba kwa kudharau tofauti hizi

Himidini

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
5,534
Reaction score
4,193
^^
Uchumba una maana ya kufahamiana undani wa mtu ili ikiwezekana mfikie hatua ya ndoa.Hatua ya kuishi na mwenzako maisha yako yote.Kuna mambo mengi yamesemwa kuhusu mambo ya kuzingatia katika uchumba,lakini wengi bado hawajatambua tofauti ambazo huzua simanzi ya mioyo wawapo katika ndoa.Zifuatazo ni sehemu tu ya tofauti za kutazama
...
TOFAUTISHA PENDO NA TAMAA
Vijana wengi wanaongozwa na tamaa,mihemko ya miili,na mwonekano basi.Siku zote nasisitiza mtu hayuko nje..yuko ndani.Pendo la kweli halina haraka..lina utaratibu
...
TOFAUTISHA LENGO LA MWANADAMU NA LENGO LA MUNGU
Kubali kuwa una lengo na mipango ya kuwa Mke au mme awe kabila lile,elimu ile,umbile lile,rangi lile,Lakini lengo la Mungu likawa tofauti.
...
TOFAUTISHA KATI YA TENDO LA NDOA NA NDOA
Wengi wanadhani tendo la ndoa ambalo kweli limeharibiwa na kuwa ngono basi ni ndoa.Kutoa tendo la ndoa hakuna maana umepata ndoa.Ndoa ni bahari pana.
...
TOFAUTISHA MAOMBI YA IMANI NA MAOMBI YA DINI
Unapotaka mchumba ambae unataka awe mume au mke,sali mwenyewe.Ndoa ina majaribu inataka kuwa na mtu msitahimilivu.Ongea na Mungu..wewe umemkosea nini hata asikusikilize? Maombi ya umati ni mazuri lakini yaongeze kwa funga binafsi.
...
Akupendae kwa lugha zote
Himidini
^^
 
inabidi uanaze kumsaidia lusekelo kwa upande wa mafundisho ya ndoa...
 
hapo kuna jinsi ambavyo nimekubali huu mtizamo
 
^^
Uchumba una maana ya kufahamiana undani wa mtu ili ikiwezekana mfikie hatua ya ndoa.Hatua ya kuishi na mwenzako maisha yako yote.Kuna mambo mengi yamesemwa kuhusu mambo ya kuzingatia katika uchumba,lakini wengi bado hawajatambua tofauti ambazo huzua simanzi ya mioyo wawapo katika ndoa.Zifuatazo ni sehemu tu ya tofauti za kutazama
...
TOFAUTISHA PENDO NA TAMAA
Vijana wengi wanaongozwa na tamaa,mihemko ya miili,na mwonekano basi.Siku zote nasisitiza mtu hayuko nje..yuko ndani.Pendo la kweli halina haraka..lina utaratibu
...
TOFAUTISHA LENGO LA MWANADAMU NA LENGO LA MUNGU
Kubali kuwa una lengo na mipango ya kuwa Mke au mme awe kabila lile,elimu ile,umbile lile,rangi lile,Lakini lengo la Mungu likawa tofauti.
...
TOFAUTISHA KATI YA TENDO LA NDOA NA NDOA
Wengi wanadhani tendo la ndoa ambalo kweli limeharibiwa na kuwa ngono basi ni ndoa.Kutoa tendo la ndoa hakuna maana umepata ndoa.Ndoa ni bahari pana.
...
TOFAUTISHA MAOMBI YA IMANI NA MAOMBI YA DINI
Unapotaka mchumba ambae unataka awe mume au mke,sali mwenyewe.Ndoa ina majaribu inataka kuwa na mtu msitahimilivu.Ongea na Mungu..wewe umemkosea nini hata asikusikilize? Maombi ya umati ni mazuri lakini yaongeze kwa funga binafsi.
...
Akupendae kwa lugha zote
Himidini
^^

nimevutwa na hapa,..kutoa tendo la ndoa sio ndiyo kupata ndoa.thanks mkuu..,..!
 
Mpendwa hii msg imenigusa hadi kwenye kidari ,...duh thanx for sharing Himidini
 
Last edited by a moderator:
daah, mkuu himidin umenifanya nianze upya kuwaza kwa maneno hayo.
 
Mkuu tatizo ndoa nyingi huwa huwa watu wanabase na vitu viwili:
1. Uzuri wa sura
2. Economy potentiality

Mungu anawekwa kando kabisa na kuna mda "tunamwona hafai kutuchagulia wenzi". Unapoamua kuamini Mungu fata anachokupa, ukiamua kama wewe amua at your own risk. Na ndio mana ndoa nyingi ni za kukaa kwa tabu tu na kwa sababu ya watoto ila lait kama watu wangepewa "supplementary" za kuoa/olewa huenda wachache sana wangerudiana.

Kadiri maendeleo yanavyoongezeka huenda mbelen hapatakuwa na ndoa tena, kwani nani anapenda kuishi kwa stress? ikiwa maisha unayo, kazi nzuri unayo why uoe ama uolewe? Utasema "HESHIMA" kwa jamii, nooooo hii itakwisha tu siku si nyingi ni kama kipindi tunakuwa ilikuwa msichana akivaa suruali tunashangaa sana na kumuita changudoa. Lakini saivi tumeshazoea aagh raha kbs. Nimebahatika kuishi ulimwengu wa kwanza na kuona jinsi ndoa sio deal tena. Mkishindana tu unaingia Online na kujaza form unaprint unasain na kupeleka kwa hakimu(AUD 300) then unamkabidhi mkeo ama mmeo ambae anakuboa. Imagine watu kama Jullie Gillard ana boyfrend, Khama Ian Khama(Botswana Pres) hajaoa todate.

Haya mambo ya kuoa na kuolewa pamoja na kuwa mpango wa Mungu lakini bado sisi wanadamu tunajiona ni zaidi. Tumtangulize YEYE kwa kila kitu kwani anajua hata siku moyo utasimama forever
 
Mkuu tatizo ndoa nyingi huwa huwa watu wanabase na vitu viwili:
1. Uzuri wa sura
2. Economy potentiality

Mungu anawekwa kando kabisa na kuna mda "tunamwona hafai kutuchagulia wenzi". Unapoamua kuamini Mungu fata anachokupa, ukiamua kama wewe amua at your own risk. Na ndio mana ndoa nyingi ni za kukaa kwa tabu tu na kwa sababu ya watoto ila lait kama watu wangepewa "supplementary" za kuoa/olewa huenda wachache sana wangerudiana.

Kadiri maendeleo yanavyoongezeka huenda mbelen hapatakuwa na ndoa tena, kwani nani anapenda kuishi kwa stress? ikiwa maisha unayo, kazi nzuri unayo why uoe ama uolewe? Utasema "HESHIMA" kwa jamii, nooooo hii itakwisha tu siku si nyingi ni kama kipindi tunakuwa ilikuwa msichana akivaa suruali tunashangaa sana na kumuita changudoa. Lakini saivi tumeshazoea aagh raha kbs. Nimebahatika kuishi ulimwengu wa kwanza na kuona jinsi ndoa sio deal tena. Mkishindana tu unaingia Online na kujaza form unaprint unasain na kupeleka kwa hakimu(AUD 300) then unamkabidhi mkeo ama mmeo ambae anakuboa. Imagine watu kama Jullie Gillard ana boyfrend, Khama Ian Khama(Botswana Pres) hajaoa todate.

Haya mambo ya kuoa na kuolewa pamoja na kuwa mpango wa Mungu lakini bado sisi wanadamu tunajiona ni zaidi. Tumtangulize YEYE kwa kila kitu kwani anajua hata siku moyo utasimama forever

^^
Mkuu umeeleza kila kitu kwa ufasaha..nadhani pamoja na kuwa mambo yaenda kinyume na yalivokuwa awali tusichoke kutimiza sehemu yetu itupasayo
^^
 
yaani somo lako bestito limenigusa sana leo na hapa ndo pamenifanya nipapaste:
TOFAUTISHA MAOMBI YA IMANI NA MAOMBI YA DINI
Unapotaka mchumba ambae unataka awe mume au mke,sali mwenyewe.Ndoa ina majaribu inataka kuwa na mtu msitahimilivu.Ongea na Mungu..wewe umemkosea nini hata asikusikilize? Maombi ya umati ni mazuri lakini yaongeze kwa funga binafsi.
yaani mkuu umennena mpaka nimeshindwa kuweka neno la nyongeza kwani umemaliza yote
 
Uko sahihi kabisa ndugu Himidin.kama ulivosema utu wa mtu hauko nje bali ndani ni sawa kabisa take five a million times.
 
Back
Top Bottom