Unatoa taarifa inamaana nyumbani Kwangu ni Kituo cha Polisi???Anashindwa hata kuipa hadhi nyumba yake,,anashindwa hata kutoa hadhi kwa Mume,,,ndoa,,,na familia yake anabaki kujisifia kushona sare,,,,kazi ipo!!!labda kama ni singo maza,,,lakini kama ni mama wa familia,,,Broo ameyakanyaga,,,labda kama na yeye anakubaliana na hayo ya huyu mke wake