Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Au siyo?!!!.Sisi wanawake hatuna formula. Ila Ni muhimu mwanamme kusimama Kama mwanamme.
Au siyo?!!!.Sisi wanawake hatuna formula. Ila Ni muhimu mwanamme kusimama Kama mwanamme.
Rizki huja kwa wakati wake .Sasa Kama wewe umeridhika na chumba kimoja Cha kupanga utajilinganisha na wengine?
Ndoa=mafanikio?Sio kweli
Umemaliza mkuuUsiseme hujaambiwa. Kijana usijifanye we mfia dini kwa kutaka kuhalalisha wakati bado unajenga career, hakikisha wakati unatangaza ndoa uwe umekamilisha angalau Masomo na una career au biashara inayoeleweka. Kuna dogo alipata kazi SUA akaoa fasta akatakiwa kwenda PhD China.
Sasa Uchumi ukatingishika bibie huku anatoa mitusi kama yote, jamaa kule shule haiendi mwaka wa 7 karudi Bongo, mwajiri anamuuliza vyeti vya PhD jamaa anang'aa sharubu kwa huruma. Jamaa kawa re-categorized kuwa WARDEN
NB: Weka mambo ya uchumi sawa kabla ya kuoa, mwanamke si ndugu yako eti akuvumilie shida zako.
SawaNop....
Kila MTU kazaliwa kivyake na atafanikiwa kwa juhudi zake.
#YNWA
Hii pointSOMO: Jenga career kwanza. Mambo ya mahusiano na mtu usiyemjua vizuri anaweza kukupotezea focus ya maisha
Okay. Tuma salamuHalafu unakuja kuanika watu hapa tena kwa kutoa codes zote. Huna adabu kabisa wewe kijana. na je kufeli kwa huyo mtu unakuunganisha vipi na mkewe uenda jamaa alikuwa ni kilaza wewe unakuja kuhukumu humu. Mbona kuna watu wanaenda kusoma bila kuwa na wake na hawapati hizo PhD? usi-generalize vitu we mfanyakazi wa SUA
Salaam zikufikie wewe na mkuu wenu wa Chuo (VC) Prof. Raphael Chibunda na w/kazi wote wa Faculty yako ya Animal ScienceOkay. Tuma salamu
Usiseme hujaambiwa. Kijana usijifanye we mfia dini kwa kutaka kuhalalisha wakati bado unajenga career, hakikisha wakati unatangaza ndoa uwe umekamilisha angalau Masomo na una career au biashara inayoeleweka. Kuna dogo alipata kazi SUA akaoa fasta akatakiwa kwenda PhD China.
Sasa Uchumi ukatingishika bibie huku anatoa mitusi kama yote, jamaa kule shule haiendi mwaka wa 7 karudi Bongo, mwajiri anamuuliza vyeti vya PhD jamaa anang'aa sharubu kwa huruma. Jamaa kawa re-categorized kuwa WARDEN
NB: Weka mambo ya uchumi sawa kabla ya kuoa, mwanamke si ndugu yako eti akuvumilie shida zako.