Usikimbilie kuoa, utajuta

Kwanza mtoa mada anatuchanganya kwa mambo yafuatayo:
Mosi, mtu anaeenda kufanya PhD maana yake aliajiriwa akiwa kama TA au Mhadhiri msaidizi(assistant lecturer), kwa scale za mshahara wa serikalini, huyo jamaa haipungui 2m kwa mwez kama alikua na masters tayari, kama alikua TA milion moja karibu na nusu take home, sasa je kama alimuachia wife salary iweje uchumi uyumbe?
Mbili, PhD za nje asilimia kubwa huenda kwa ufadhili, maana gharama zake ni kubwa sana, kama hivyo ndivyo, iweje ashuke kiuchumi kwa kiasi cha ndoa kutetereka?
Nafanya PhD kwa ufadhili, hela ya ufadhili inatosha kula mimi na wife, japo nipo chuo cha private ambapo mshahara si mkubwa sana tofauti na scale za serikalini kama SUA, lakin mahitaji yote ya msingi yanapatikana!
Nadhani jamaa kaoa kahaba, au na yeye binafsi ana shida asizoziweka wazi, ama ameenda kufanya PhD kwa kujilipia kitu ambacho siamin kwa mtumishi wa umma kwa kuzingatia mshahara wake ukilinganisha na gharama za shule ya nje!

Sent from my SM-N910U using JamiiForums mobile app
Scholarship ya jamaa ilikua Miaka 3. Sasa kule Supervisors (Main na Co-supervisors) wanazinguana mpaka leo hawajafikia popote mwaka wa 7 kwa hiyo anaishi kwa mshahara tu. Alipe bills za familia TZ na Ughaibuni
 
Scholarship ya jamaa ilikua Miaka 3. Sasa kule Supervisors (Main na Co-supervisors) wanazinguana mpaka leo hawajafikia popote mwaka wa 7 kwa hiyo anaishi kwa mshahara tu. Alipe bills za familia TZ na Ughaibuni
Hapo kazi ipo na problem ya supervision kwa graduate studies ni jambo la kawaida sana, ila kwa level ya PhD mwenye final say kwenye kazi ni first supervisor, lakini wakiwa wanazingua una nafas ya kuandika barua kuomba ubadlishiwe. Miaka 7 asee ngesharudi mapema sana, asipoangalia shule itakua imeishia hapo, scholarship zote wanakupiga pini ya deadline, usipomaliza ndani ya muda hawahusiki
 
Usiseme hujaambiwa. Kijana usijifanye we mfia dini kwa kutaka kuhalalisha wakati bado unajenga career, hakikisha wakati unatangaza ndoa uwe umekamilisha angalau Masomo na una career au biashara inayoeleweka. Kuna dogo alipata kazi SUA akaoa fasta akatakiwa kwenda PhD China.

Sasa Uchumi ukatingishika bibie huku anatoa mitusi kama yote, jamaa kule shule haiendi mwaka wa 7 karudi Bongo, mwajiri anamuuliza vyeti vya PhD jamaa anang'aa sharubu kwa huruma. Jamaa kaambiwa aende kozi ya udereva VETA ili asikose vyote.

NB: Weka mambo ya uchumi sawa kabla ya kuoa, mwanamke si ndugu yako eti akuvumilie shida zako.
Hahaaaa

JESUS IS LORD
 
Hapo kazi ipo na problem ya supervision kwa graduate studies ni jambo la kawaida sana, ila kwa level ya PhD mwenye final say kwenye kazi ni first supervisor, lakini wakiwa wanazingua una nafas ya kuandika barua kuomba ubadlishiwe. Miaka 7 asee ngesharudi mapema sana, asipoangalia shule itakua imeishia hapo, scholarship zote wanakupiga pini ya deadline, usipomaliza ndani ya muda hawahusiki
Amesharudi bila PhD kazini wamem-categorize kuwa Warden. Mke kakimbia.
 
Kama chai hivi

PhD miaka 7 na bado hajamaliza? Na mwajiri anamuuliza vyeti wakati hajamaliza? Hii miaka saba ni Masters na PhD juu kwa china

VETA ili awe dereva? Ilivyo usipokuwa na vogezo utasota kwenye cheo chako ial hufukuzwi kazi.

Kama aliajiriwa akiwa na Master's degree ina maana ni Assistant Lecturer anakufaje njaa hapo mkuu, mshahara unamtosha mke na bumu la huko uchinani lipoo.

Punguza chai.

CHELEWA KUOA UJUTE UZEENU
 
Sema umeandika fasta kama unakimbizwa..
ungetulia kidogo ili ambao hatujaoa tujifunze kitu
 
Usiseme hujaambiwa. Kijana usijifanye we mfia dini kwa kutaka kuhalalisha wakati bado unajenga career, hakikisha wakati unatangaza ndoa uwe umekamilisha angalau Masomo na una career au biashara inayoeleweka. Kuna dogo alipata kazi SUA akaoa fasta akatakiwa kwenda PhD China.

Sasa Uchumi ukatingishika bibie huku anatoa mitusi kama yote, jamaa kule shule haiendi mwaka wa 7 karudi Bongo, mwajiri anamuuliza vyeti vya PhD jamaa anang'aa sharubu kwa huruma. Jamaa kawa re-categorized kuwa WARDEN

NB: Weka mambo ya uchumi sawa kabla ya kuoa, mwanamke si ndugu yako eti akuvumilie shida zako.
Mkuu usipende kugeneralize,wapo wanawake wema na Wavumilivu.
 
Sisi wanawake hatuna formula. Ila Ni muhimu mwanamme kusimama Kama mwanamme.
 
Back
Top Bottom