Hayo maneno ya usikate tamaa kunamtu anakutegemea kila siku huwa yanaishi kichwani mwangu kuna mtu aliniambia kuwa nikifanikiwa mm kuna watu pia wamefanikiwa bila mm kufanikiwa basi nawao hawata fanikiwa mlango wao wamafanikio mm ndio ninafunguo yao 😢
Amen, MUNGU atupe uzima tuweze kuandaa hata ka tour kamoja tu kakumaliza mawazo kidogo, wenzetu wanakua na RETREAT nadhani majority tunahitaji Retreat, ngoja kesho nitaanzisha mada hio