Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
- Thread starter
-
- #21
Mpwa, we all have our good and bad times! Mwezi kama huu miaka miwili iliyopita nilimpoteza Mama yangu kipenzi, nilihisi dunia imesimama! nilishindwa lakini nikutie moyo, simama!kama umeniandikia mimi kila kitu kimesimama kazi imepotea na, ndugu, marafiki na familia wamepotea sioni feature yoyote nipo km sipo sehemu pekee nilipobakiwa nako ni humu jf ..GOD help me.
kama umeniandikia mimi kila kitu kimesimama kazi imepotea na, ndugu, marafiki na familia wamepotea sioni feature yoyote nipo km sipo sehemu pekee nilipobakiwa nako ni humu jf ..GOD help me.
Naam, kweli tupu, kila mtu ana nguvu fulani ndani yake.Ni katika hii time ya kujua nguvu yako halisi ya kustahimili na kuinuka.. so long as yo still breathing, you have a chance to get anything which falls within your capacity, never give up na Mungu akupe wepesi mkuu
Naam, kweli tupu, kila mtu ana nguvu fulani ndani yake.
Karibuni tuzungumze, usife na tai shingoni, sharing is caring. MUNGU ni mwema kila wakatiHongera sana mkubwa uzi wako ni nuru tosha kwa wote waliokata tamaa
Pole sana, wewe ni mshindi! Watajiokeza na mimi nikisikia mahali nitakuita, ukiwa Dar jaribu kucheki na Mkuu Mshana Jr kama atakua na sehemu ya vibarua pale ukafanye kwa muda.Asante kwa bandiko zuri always nasema jamiiforum itabaki Kua ni kimbilio pekee nikipitia matatizo.
Nilkua nasikia watu wanasema sina hata shilingi mia! Nilikua najua ni masikhara. Duh kumbe hii hali hipo aisee? (Usicheke), Haya maisha bana ni basi tu..
hata ukisali saana hata uombe vipi sielewi haya maisha yakoje.
Haya maisha hayako fair hata kidogo. Unaweza kusali saaana hata usifanikiwe na mwingine ambaye hana time na Mungu akafanikiwa. Mfano mdogo, nimemaliza form six 2017 nikaenda Jkt kwa mujibu wenzangu walibakizwa (waliokua kambi zingine kambi yetu hawakuchukua) ndio hivyo sasahivi wengine wapo Russia, egpty n.k wengine wana nyota sasa. Japo nilifight kuipata hiyo nafasi nikaishia kufukuzwa tu pale lugalo(sitasahau), lakini kwenye biblia nafundishwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila jambo. Pia tunafundishwa ya kwamba Mungu anampa kila mtu kwa wakati wake hila sioni future kabisa..
Wakuu Nipo nyumbani sasa baada ya vyuo kufungwa na aijulikani tunafungua lini(kutokana na hili janga la Corona) mwenye kazi yoyote hile anisaidie nitaifanya niingize hata buku mbili kwa Siku, popote tu hata walioko machimboni,ziwani wanipe direction tu mimi nije.
professional yangu Mimi ni Mwalimu wa physics na mathematics pia naweza fundisha masomo yote ya science (biology and chemistry).
so kwa mda huu watoto wako wakiwa nyumbani wasikae kizembe naweza fika popote pale nikawafundisha wakiwa nyumbani! (Napatikana mwanza). Nisaidieni wakuu maana nadaiwa kodi na mwenye nyumba (huko Chuo nimepanga).
Asanteni!!!
Just my mom.. She's the Only one I Care.
Na mimi nikiwa jirani yako. Naamini hata hili litapita japo mbele giza na kibaya zaidi hata nyuma nilikotoka sikuoni tena.kama umeniandikia mimi kila kitu kimesimama kazi imepotea na, ndugu, marafiki na familia wamepotea sioni feature yoyote nipo km sipo sehemu pekee nilipobakiwa nako ni humu jf ..GOD help me.
Hakuna kukata tamaa, tushikane tutiane moyo asibaki mtu nyuma! We must learn to live like brothers or we will perish like fools.Na mimi nikiwa jirani yako. Naamini hata hili litapita japo mbele giza na kibaya zaidi hata nyuma nilikotoka sikuoni tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu muda huu wanahisi kudharauliwa, kunyanyasika, kukata tamaa, kukataliwa, ni kama vile dunia imefika mwisho kwao. Kama vile hakuna tena kesho. Kama vile hakutambazuka tena