Usihofu ukikosa mke mwema kanisani, utampata kilabuni

Earthworker

Member
Jul 15, 2011
83
30
Sio kila mwanamke anayeshinda kanisani atakuwa na maadili mema au ndo mke mwema! Wengine ni waigizaji wanashinda kanisani ili wasipate kutengwa na jamii zinazowazunguka!
Tena unaweza kukuta mtoto wa mzee wa kanisa ndo hafai afadhali ya mtoto wa mtoto wa mpika pombe za kienyeji maana ugumu wa maisha ndo umefanya hivyo! Mke aliyebora anapatikana popote! Ila nikumuomba Mungu wako aliyemwema! Akupatie kilichochema!

NILIJUA BINTI KASHIKA DINI, KUMBE TAKSI BUBU MCHANA ANAVAA NJANO USIKU WEKA NYEUPE!
 
Walikufanyaje mbona unaugumia tu kaka?? Jitahidi kusamehe na kuona kuwa umeingizwa darasa hivyo jitahidi kuufanya vizuri mtihani ujao. Hatutaacha kuoa kwa ushauri wako huu. Ingekuwa hivyo weye usingelikuwepo duniani.
 
Hata vilabuni wanapatikana pia, kuna njemba iliwahi kuandika humu kwamba ilisafiri kikazi kwenda Mbeya. Ilipofika kule ikaamua kuokota CD mtaani ili amsaidie kupambana na baridi usiku lakini njemba akagundua ile CD ilikuwa na papuchi tamu sana sana kuliko papuchi zote alizowahi kukutana nazo. Njemba siku ya pili ikarudi mtaani kumtafuta tena yule CD lakini bahati mbaya ikamkosa. Akaamua kutochukua CD mwingine lakini aliandika hapa kwamba asingeona shida yoyote kurudi MUJINI na yule CD na kumfanya mama wa nyumbani kwake kutokana na utamu wa papuchi yake aliandika pia ngozi yake yule CD ilikuwa ni nyororo kama ya mtoto mchanga. Chezeya utamu weye!

 
Hata vilabuni wanapatikana pia, kuna njemba iliwahi kuandika humu kwamba ilisafiri kikazi kwenda Mbeya. Ilipofika kule ikaamua kuokota CD mtaani ili amsaidie kupambana na baridi usiku lakini njemba akagundua ile CD ilikuwa na papuchi tamu sana sana kuliko papuchi zote alizowahi kukutana nazo. Njemba siku ya pili ikarudi mtaani kumtafuta tena yule CD lakini bahati mbaya ikamkosa. Akaamua kutochukua CD mwingine lakini aliandika hapa kwamba asingeona shida yoyote kurudi MUJINI na yule CD na kumfanya mama wa nyumbani kwake kutokana na utamu wa papuchi yake aliandika pia ngzi yake ilikuwa ni nyororo kama ya motto mchanga. Chezeya utamu weye!


Asante kaka tena atakuwa alikula papuchi ya mitaa ya mama joni au ilomba
 
Walikufanyaje mbona unaugumia tu kaka?? Jitahidi kusamehe na kuona kuwa umeingizwa darasa hivyo jitahidi kuufanya vizuri mtihani ujao. Hatutaacha kuoa kwa ushauri wako huu. Ingekuwa hivyo weye usingelikuwepo duniani.
Wanasumbua kinoma, nilipata mmoja nikawa nawaza mbali juu yake mie wakati namvungia kumbe kuna wana wananjunja huko
 
Wanasumbua kinoma, nilipata mmoja nikawa nawaza mbali juu yake mie wakati namvungia kumbe kuna wana wananjunja huko


Earthworker'
Tatizo linakuja wakati unapokuwa kimya ukiugulia moyani bila kuufungua moyo wako. Yeye atajuaje kiu yako? Akija mwenye kiu ka yako anaomba kunywa maji, naye anapewa we unakasirika?
Vuta chuma weka ndani, hata kama alikuwa duka mkononi atajizuia.
 
Earthworker'
Tatizo linakuja wakati unapokuwa kimya ukiugulia moyani bila kuufungua moyo wako. Yeye atajuaje kiu yako? Akija mwenye kiu ka yako anaomba kunywa maji, naye anapewa we unakasirika?
Vuta chuma weka ndani, hata kama alikuwa duka mkononi atajizuia.
Kweli mkuu? Wacha nijipange haya mambo yanataka uyapokee kwa moyo mmoja
 
Ukiwa kula nyama ya kuku kirahisi: Yanini kufuga kuku? Huko lazima ujenge banda, uweke ulinzi, hata kama ni wa kienyeji-lazima utafute chakula cha ziada. Pia kuganyia usafi banda.

Taabu yote ya nini mpendwa? Kula maisha bro achana na wanawake wa kujibinafsishia bro, utakufa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom