uje huku amboni bibi yangu ni mganga,njoo umdhihaki kuwa RC was Dar anakuhujumuhahahahaha yaani unadhamiria kufanya hivo, utuletee mrejesho
hapo Mlozi Mkuu umenena nani wa kupingaMmh haya ni mapya kwangu... Nijuavyo mimi mengine ni masharti tu ya mganga ya kutishana yasiyo beba uhalisia wowote
Imani ni bora kuliko DiniNinamjua mtu alikuwa na maradhi ya Pumu aliwahi kwenda kwa mganga na kutibiwa,ila sharti alilopewa ni kutokugeuka nyuma wakati anaondoka,mpaka atakapoingia kwake na mpaka hivi ninavyoongea amepona kabisa....
Ukigeuka nyuma mana yake .. '' warungura'' yaani umekaanga uchawi!! kwa lugha rahisi umeunguza!! kazi yako imekuwa batili! ni sawa na kurudi kwa mganga upya!!Mmh haya ni mapya kwangu... Nijuavyo mimi mengine ni masharti tu ya mganga ya kutishana yasiyo beba uhalisia wowote
ee!!!bwana ee usithubutu!! utapigwa na majini mpaka ukome!! weee jaribu tu kwa munguwa kabili yuko hapo dsmStori tu! Hakuna cha majini wala nini!
Siku moja nitafanya utafiti wa vitendo niende kwa mganga nikamdhihaki nijue kama ana lolote la kunifanya!
Hakuna kitu! 100%