Ha ha ha.. Kipimo cha ubishi wa binadamu.. Kama vile Adam na Hawa walivyoambiwa wasile lile tunda na wakalila.. hapa napo mmeambiwa msifungue lakini kwa ubishi wenu mmefungua.. Mbaya zaidi mnajiona mna haki ya kumshambulia mleta post..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.