Usife kibwege kama Ted Jorgensen

Ofcoz ni makosa makubwa sana kumtelekeza mwanao wa kumzaa no matter what....kama shida mpate...na kama ni raha mle wote......ni damu yako na we ndie ulie fungua milango ya damu hiyo kuja duniani....

Yote Tisa kumi........hata kama mzazi kakosea vipi wew utabaki kuwa shahawa yake tu...Yani kwa kifupi umetoka kwenye kiuno chake.....hakuna mtu ambae atasimama mbele yangu na kuverify kitendo Cha kumuignore mzazi wake no matter amekufanyia mabaya kiasi gn.......!!!!

Yote kwa yote Mipango ya Mungu ni lazime itimie kwa kiumbe na mwanadamu yoyote yule.
 
Hata pia simulizi ya muanzilishi wa Apple Mr Steve Jobs nayo inataka kufanana na hii maana baba yake mzazi alikuwa ni Mwarabu wa Syria na alienda US kwa masomo ndo kukutana na mama yake Steve na Steve akawa adopted akiwa mdogo kabisa
 
Kila mtu na hatma yake,hatma ya jeff ilikuwa ni kulelewa na baba mwingine ili afikie mafanikio aliyonayo
 
Ilikuwa lazima Yuda amsaliti Yesu ili unabii utimie...Yuda hakuwa na kosa sababu ilikuwa imeandikwa.
Mtoto angelelewa na babaake angeishia kuwa mlevi tu kama babaake na angeachiwa duka la baiskeli.
True
 
Hata kama angemlea, asingemfikisha alipo fika Jaff. yamkini angekuwa mcheza sarakasi Kama baba yake!! mambo ya silini ni ya Mungu!! ulishawahi kujiuliza?? vipi Kama Baraka Obama asingetelekezwa huko Hawaii! vipi Kama Babaake angelinchukua mamaake na kuja nae Kenya Obama angekuwa rais wa marekani?? siangekuwa mjaluo kama wajaluu wengine??? yamkini angesoma Kenya!! angeiga siasa za Kenya nk!!
Ni mtazamo wangu!
 
Ukija kwa kijana wenu tu hapa hapa Tanzania, Nassibu Abdul unadhani babake angejua kijana angefika hapa unadhani angemuacha?
Hkn asiyependa. Kukaa na mwanae Duniani.kufanikiwa kwa mwanae hata asipompa kitu.But
Ki mama kili ngangania kutambaa na nasibu.
Kikapotelea kusikojulikana sas je! Km hupendi asonge mbele kimaisha ulimzaa wa nini? Wkt kuna vidonge vya majira?
Hkn atakae kujali Dunani km Baba na Mama baaaaas!
 
Nimeingia wikipedia hili jambo limenishangaza sana,anasema mara ya mwisho kumuona mwanae ni wakati akiwa na miaka mitatu tu....yaani only three years hata alipoulizwa tena kama anajua mtoto wake anafanya nini saa hizi anasema hajui kama mwanae amepata kazi au ni jobless au kama amekufa,hivi hawa jamaa huwaga wanajitambua kweli?!

Ajabu sana hii.
 
usilolijua ni sawa n usiku wa giza pia kil jambo linatokea kwa wakati wake uendaa ikawa jeff asingekuwa Tajiri kam angelelewa n baba ake mzazi
Je kwenye maono ya Jeff na kisa hiki akitambua haya maono Hadi kuwa anamkwepa baba yake au ni ego za ubinadamu kwamba baba alinitelekeza?
Maana nahisi huyu tajiri Ana maono ya kutomsogelea baba yake Ili kulinda mali zake kwa sababu katika Hali ya kawaida hangeweza kumsaidia kidogo dingi yake hata kama alimtelekeza
 
Yote kwa yote kama mimi ningetambua ukweli nisingeacha kumtunza mzee, wote tunafanya makosa.
Mashaka yangu ni kwamba bwana tajiri alipewa maono ya kiapo au kwamba aliambiwa siri ya utajiri ni kukaa mbali na mzee la sivyo atarudi umaskini maana kwa Hali ya kawaida kibinadamu angeweza kumsaidia japo kidogo
 
Ilikua lazima Yusuph achukiwe na kaka zake, auzwe Kama mtumwa Misri ili ndoto yakua mtawala itimie.
Na Hali hiyo ilikuja kuwaokoa familia na Taifa
Kimsingi haya maisha na hatima ya Kila mtu anapanga Mungu ni beyond one's control
Sio Kila jambo baya kwako limekuja kwa ubaya bali lina kusudi la Mungu ko tusipende vya kulaumu Sana tufanye sehemu yetu na tumuambie Mungu atimize kusudi na mapenzi yake japo kibinadamu naumia
Yaani dizaini ya Yesu aliposema hiki kikombe kukinywa ni mziki but kwa makusudi yako acha nipambabe Mungu atamshindia na ndivyo ilivyokuwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…