Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
Nchi hii ni.. hapa huyu mtu ndie think tank ya nchi1.umeme unakata kwa siku zaid ya mara 10
2.tozo ziko direct snaa had mama muuza nyanya anafeel
3.petroli 2500
4.unga 1300
5.machinga tupa kule
6.tozo kwenye umeme
Hivi vitu vyote vinamgusa moja kwa moja mtanzania..haya yote yametokea gafla ndan ya miez mi4
Mpaka aje ashituke watu wanafanya makusud achukiwe ..si leo wala kesho
Sijui kama kashitukia hili lakin..
N.b sitak kusikia et "matatzo haya ni global sabab ya korona n sh**)...si kwel