Usifanye kosa hili kwenye kuoa

Usifanye kosa hili kwenye kuoa

BYTE

Member
Joined
Nov 21, 2014
Posts
17
Reaction score
4
1.Umepishana sana ki umri

2.Mitazamo tofauti kimaisha

3.Dini tofauti tofauti

4.Mwanamke aliyetokea ghetto si kwa wazazi

5.Ulidetiwa kwa muda mrefu mwisho wakaachana

6.Anapenda starehe zaidi ya kujenga familia

7.Ana asira na wivu kupita kiasi

8.1-7
 
ya 4 SIJAKUFAHAMU vizurii...
Gheto kivipi? anajitegemea au ?

Na kama ni anajitegemea inamaana hata akiwa na miaka 25 kuendelea na anauwezo wa kujitegemea akae tuu kwa wazazi akila kwa shkamoo asisimamie maisha yake kisa kusubiri kuolewa?



1.umepishana sana ki umri
2.mitazamo tofauti kimaisha
3.dini tofauti tofauti
4.mwanamke aliyetokea ghetto si kwa wazazi
5.ulidetiwa kwa muda mrefu mwisho wakaachana
6.anapenda starehe zaidi ya kujenga familia
7.ana asira na wivu kupita kiasi
8.1-7..
 
Dogo acha mbwembwe ww hapo ndio kwanza una miaka 22 halafu bado unakula kwa baba na mama . Leo naww unatoa elim ya ndoa hivi kweli??!!

Endelea kumalizia maziwa kwa mama halafu baadae ukisha kuwa utajipa rules ww mwenyew bila hata kuambiwa na mtu
 
mmh hiyo ya kupishana kiumri utansamehe.
 
Kwa hiyo nikichukua aliyeishi kivyake ghetto hatanifaa? Duh..!

Hata hivyo #1 na #3 hasa DINI..usifanye kosa hili..utajuta aisee!
 
Kwa hesabu za fasta umetemwa siku mbili hizi.

Ha ha ha ha Karucee.. Tena amepigwa kibuti cha ugoko kinamkereketa mpaka sasa hivi lol..

Usidhani ambacho kina-apply kwako basi na kwa mwingine ni vivyo hivyo.. Ukiondoa hiyo namba sita ambayo kidogo inaweza kuwa na logic zilizobaki zote ni N/A.. Vile vile mtoa uzi unatakiwa ukumbuke na wewe unaweza kuwa na tabia inayofanana na hizo ulizozitaja hapo..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom