Usidanganywe, jimbo la Chalinze ni 50 kwa 50

Usidanganywe, jimbo la Chalinze ni 50 kwa 50

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,511
Reaction score
283,969
Wakuu salaam , kwa tathmini ndogo niliyofanya kuhusiana na jimbo hili mgombea wa UKAWA mathayo Torongey bado ana nafasi ya ushindi , hakika uchaguzi huu hakuna jimbo ' mdebwedo ' upepo wa kamanda lowassa unavuma vema sana chalinze , inashangaza !
 
Wachunguzi wa mambo wanadokeza kwamba uwepo wa jamii kubwa ya wafugaji kwenye jimbo hilo ambao wanaunga mkono sana UKAWA imekuwa chachu ya mabadiliko .
 
umaskini uliosababishwa na ccm uko kila mahala hapa tanzania chalinze pia ni moja ya majimbo ambayo umaskini uliokithiri umeota mizizi kabissa hata wana chalinze wantaka mabadiliko!!!
 
Nina hamu Chalinze liende upinzani
 
Bro unapenda kujipa matumaini hewa!!
Safari ya kulinda kura za Mwanyaki imeshaanza?
 

Attachments

  • 10376937_349971705166299_2144134367348374985_n.jpeg
    10376937_349971705166299_2144134367348374985_n.jpeg
    7.8 KB · Views: 1,654
  • 10850029_378425952320874_7344645779546803318_n.jpeg
    10850029_378425952320874_7344645779546803318_n.jpeg
    9.4 KB · Views: 1,657
Jamaa atafanya biznes gani maana hsc ishafungwa na Dona aliuziki coz mshua atakua kaachia ngazi.
 
U are right ukuzaji kilichomkuta ritz Jana kwenye mkutano wa hadhara. Tunaomba ukichaguliwa utatue tatizo la maji. Jibu lake unalijua.....mgh
 
U are right ukuzaji kilichomkuta ritz Jana kwenye mkutano wa hadhara. Tunaomba ukichaguliwa utatue tatizo la maji. Jibu lake unalijua.....mgh
mkuu nsaji ni vema ungefafanua ili wadau wakuelewe .
 
Wazaramo na Wandengereko sio wa kuwaamini kabisa.
 
Back
Top Bottom