maxime
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 2,231
- 1,308
Nakubaliana na wwe kabisa.... 100%.The more you learn the more you know, the more you know the more you forget, the more you forget the less you Know,so why bother to learn?
Nimesoma maelezo yako kwa umakini sana tena ule wa hali ya juu.Kama ulivyosema"deadma tells no tale"Hakuna aliye na uhakika kuhusu kifo na kujuwa nini hatma ya maisha ya binadamu mara baada ya kufa.Hivyo zote hizi ni nadharia you ingawa tunaweza kujuwa nadharia ipi ina ukweli na ipi ni uongo kwa ku hoji.
Umemkosoa mwenzio kwa kuweka/kutoa mafundisho ya uongo kuhusu kifo lakini na wewe umepita mulemule alikopita yeye kwa kusema uongo.
Hakuna,narudia Hakuna maisha baada ya kufa/kufariki.Ukifa umekufa Kama vile ambavyo kiumbe wengine wanavyokufa(wanyama&wadudu).
Ili tujuwe kuwa Hakuna maisha baada ya kufa lazima tunaangalie japo kwa uchache maisha/uhai umejengwa na Nini?
The reality we experience(uhai) is created by our consciousness and life and without those two elements(consciousness and life) it's just not there.
Sasa kwa maana hiyo hapo juu ni kuwa uhai umejengwa Katika Maeneo mawili makubwa ambayo ni ufahamu na maisha(mazingira).
Huu ufahamu umejengwa na ubongo.
Kiumbe kinapo kufa means na ubongo umeshindwa kufanya kazi hivyo hupoteza fahamu hivyo hawezi kuishi tena baada ya tukio Hilo.Maybe tu assume kuwa baada ya kuoza mwili, anaweza kupata mwili mwingine tena wenye ubongo mwingine tena....ha hahaaaa haha hapa napo kutazua maswali mengi bila majibu.
Hakuna maisha baada ya kifo.Ukifa ndo mwisho wako yaani kama ambavyo haukuwa kuishi sehemu yoyote kabla ya kuzaliwa ndo hivyo ukifa,you become a non existence.
The greatest enemy of the knowledge is not ignorance but the illusion of the knowledge.By Stephanie Hawking.
Nawaacha na swali: Does soul exist