Hiyo ndo habari ya mujini .... asipokueleza shida zake kitandani unategema atafanikiwa? Unaambiwa 'huna pesa ...hakuna penzi' kama ni penzi kampe mkeo mliyefunga naye ndoa
Hapa ni mtu mwenyewe anavyojiweka, haina Jinsia. Mwanaume anakua muathirika ''Vulnerable'' zaidi kwa sababu ya ''Desperation'' yake na focus yake.
Kwa sababu zambi nyingine zote anafanya nje ya mwili wake ila uzinzi/uasherati ni JUU ya mwili wake, na afanya jambo litakaloiangamiza nafsi na mwili wake (Maandiko husema)
Maandiko yanasema kwenye kitabu cha Mika, ''Chunga sana ulimi wako uwapo kifuani mwa Mwanamke''
maandiko yanasema ''Ishi na Mwanamke kwa AKILI'' so ukikaa nao kizuzu zuzu umekwisha. Maana wana uwezo mkubwa sana wa kutuinfluence na kutu-manipulate.. usisahau hila hila na matazamio ya juu sana..... Walishatamani kuwa sawa na Mungu, imagine?
Umeongea kitu cha msingi hapa, ila sio rahisi kueleweka.
nimeshindwa namna ya kukukoment kwako maana ulivyoongea ni sahihi kabisa
sasa best pasaka ndo hiyo vipi mualiko hakuna
Kweli kabisaa. Akiniwekea kibano cha ahadi natoa kedekede...LAKINi kwa kuwa akili inakuwa sufuri basi na ahadi zote ni hewaa tupu. Sitekelezi wala kukumbuka hata mojaaaa. Wee vipi akli ni sufuri alafu utakumbukaje uliyosema aisee Bro. Muulize Mchepuko wangu keshachoka kabisa na ahadi zangu.:disapointed::A S-baby:Ngoja waje ambao uwezo wa kufikiria hushuka wachangie,mm hubaki kama ulivyo
Tartibu na maneno yako hayo😤😤😤Hiyo ndo habari ya mujini .... asipokueleza shida zake kitandani unategema atafanikiwa? Unaambiwa 'huna pesa ...hakuna penzi' kama ni penzi kampe mkeo mliyefunga naye ndoa
Karibu sana kula pasaka Kijiji kwetu.
kijiji chenu kkiko wapi nije maana nahusudu sana kwenda vijijini nimechoka na mjini?
kama kiko jirani nakuja
Pamoja sana!Sijawahi kupoteza akili yangu tena demu akiniomba kitu chochote wakt wa tendo nashuka/namuaondoa na naishia hapohapo alaa!Ngoja waje ambao uwezo wa kufikiria hushuka wachangie,mm hubaki kama ulivyo
Kuna tofauti kubwa baina ya mwanamke na mwanamue wanapokuwa katika tendo la ndoa.
MWANAMKE:
1) Aibu huongezeka.
2) Nguvu za mwili humuishia na mwili hulegea.
3)Uwezo wa kufikiria huongezeka na kufika (to the maximum).
MWANAUME:
1) Aibu hutoweka kabisa.
2) Nguvu za mwili huongezeka.
3) Uwezo wa kufikiria(IQ) hushuka na kufikia zero! (hasa anapokuwa kileleni). Katika hayo kuna mambo tunajifunza:
a) Kumbe ndio maana Biblia inasema (mwanamume) aziniye na mwanamke hana akili kabisa; kwa sababu kimaumbile na kisaikolojia uwezo wa kufikiri hutoweka!
b) Kama mwanamke anakuwa na uwezo mkubwa wa kufikiria (to the maximum) na mwanamume akili na uwezo wa kufikiria vinashuka (to zero), bila shaka unaweza ukatambua kwa nini Samson asingesalimika kwa namna yeyote ile mbele ya Delila! Nadhani wanaume tunapata somo letu hapa; Mwanamke unaempa mwili wako kupitia tendo la ndoa, ikiwa ana nia mbaya ni rahisi mno kukumaliza kiulaini.
Katikati ya tendo hili (akili yako inapokuwa sifuri) unaweza kujikuta unakabidhi mshahara wote! Unaweza kujikuta unaahidi kumnunulia gari wakati hata pikipiki imekushinda.Unaweza kuikana familia yako mchana kweupe! Na asikwambie mtu; Ahadi unazozitoa katikati ya tendo hili zina nguvu kubwa kuanzia ulimwengu wa roho hadi katika fikra.
Ndio maana ukidakwa na ukajikuta umeropoka ahadi, Kede kede na hilo litakuganda mpaka ujute!. Pengine la muhimu (kwa wote) ni kujitahidi kuheshimu miili yetu na inapotolewa kutumika basi iwe ni sadaka ya amani na haki kwa wale wa halali na wanaostahili.
Halafu mkimaliza tukidai ahadi zetu mlizotuahidi hapo kitandani, mnatujibu kwa jeuri "nilisema kwasababu utamu ulikolea tu - sina kitu"