Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,061
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nataka akue nazo [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nataka akue nazo [emoji3]
ha ha ha naona umemficha ndani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani yupoje huyu mme wa mtu mbona yupo kawaida tu haaaa haaa
Usicheke,huyu ni mume wa dada mmoja mjuaji sana wa jf
View attachment 1170750
Hahahahahaha....Mume wa Bettina, naibu maikrofoni. Mgombea ubunge Mbeya mjini
[emoji3] [emoji3] ,atajuta kumpata mke wewe, ni mwendo Wa over size tuu.Nataka akue nazo [emoji3]
Hahaaa, eti kauli mbiu ni hapa kazi tuu, no time to waste kwenye mambo ya kijinga(kupendeza pendeza)[emoji3] [emoji3]Unakuta mwanamke ametoka ndani amependeza kweli,huku mwanaume ajulikani ametoka pango lipi
Shemela, huyu siyo bro wangu banaaa ...Jamani umeitoa wapi picha ya mume wangu
Unajifanya hujui bro wako nimemtoa wapi kisa leo anajua kuvaa vizuri?Shemela, huyu siyo bro wangu banaaa ...
ha ha ha nyie ndio huwa hampendi kutembea na waume zenuHahaaa, eti kauli mbiu ni hapa kazi tuu, no time to waste kwenye mambo ya kijinga(kupendeza pendeza)[emoji3] [emoji3]
Mi huyo mume hatuongozani akii, natangulia zangu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] ,ha ha ha nyie ndio huwa hampendi kutembea na waume zenu
Jamani umeitoa wapi picha ya mume wangu
Hahaha yupi huyo binamuNdio yule mwana eh.....??
Shemela mbona kama POVU banaaa..!!??Unajifanya hujui bro wako nimemtoa wapi kisa leo anajua kuvaa vizuri?
[emoji3][emoji3] usijali povu la komoa hata halina effectShemela mbona kama POVU banaaa..!!??
Mhnnn.... Inategemea limekaa wapi... Kwenye macho ni noma[emoji3][emoji3] usijali povu la komoa hata halina effect
Shemela kwani limekuingia machoni?Mhnnn.... Inategemea limekaa wapi... Kwenye macho ni noma