Usiache kazi sababu ya mapenzi

Usiache kazi sababu ya mapenzi

Mke wangu namuachisha ajira anafanya biashara.
 
Hii meseji nimeipenda sana, hata mimi nilinyimwa kufanya kazi na mume akaniacha vile vile.
Sasa hivi imebakia majuto tuuu :A S wink::A S wink:
 
Hii meseji nimeipenda sana, hata mimi nilinyimwa kufanya kazi na mume akaniacha vile vile.
Sasa hivi imebakia majuto tuuu :A S wink::A S wink:




Pole sana ndo inavotokea kazi unakosa na penz unakosa pia
 
Nimeikuta sehemu nikaipenda

Kama kuna kitu chochote kinachozuia wewe usiwe SUCCESSFUL kiondoe kwenye maisha yako..Kuna watu tangu WAMEOLEWA na biashara zao zimekufa,eti mme hataki ufanye biashara ukae home ataprovide..ANA WAZIMU!Kuna leo na kesho..Sawa leo ataprovide,akianguka ghafla akafa??nani ataprovide??Kuna vitu vya kukubali WANAWAKE,Mwanaume aje akupende as ur..Akikukuta wewe ni Hustler akusaidie uwe HUSTLER ZAIDI na sio kukutoa kutoka KUHUSTLE hadi kuwa Golikipa...AFIE MBELE!
Kuna wale ambao Wazazi wao ni vikwazo..Hawataki wafanye biashara..Ukiona mzazi wako HAKUSUPPORT wala usijali..Fanya mambo yako kimyakimya halafu siku 1 MSHANGAZE..Mpeleke kwenye ofisi yako Mpe Tour,mwambie DAD THIS IS ME...Hakuna kitu kizuri kama kuprove wrong watu wasiokuamini...Babangu mzazi ni NON BELIEVER wa BUSINESS...Na mpaka leo sijamwambia kama Ajira nimeacha iam on my own(Kama unamjua usimwambie),coz najua angenikatisha tamaa,ipo siku nitamuita nimuonyeshe what i do abaki mdomo wazi...USIKUBALI kitu chochote ambacho kinaua SUCCESS yako...Awe Boyfriend..Awe Girlfriend..Awe Mme..Awe Mke..Awe Mzazi,Tafuta mbinu za kuendelea kuwa Successful hata kama utalipa gharama kubwa..
Kuna mtu anakwambia,"Babe wangu hataki niuze tena Chupi anasema namdhalilisha",eti mtu anafunga biashara yake kisa NEW BEBI kamwambia ni bness inamdhalilisha..Ukipata mtu ambaye anakutoa kutoka KUTENGENEZA HELA YAKO hadi kuwa Ziro kusubiri AKUHONGE huyo ni SHETANI...Hakutakii mema...Mapenzi yenyewe haya ya kibwege ya siku hizi,unaua biashara mnakaa mwaka mmepigana chini...Umepoteza Baby na Biashara...KATAA UJINGA!
Kama mtu uliyenaye ni AGAINST SUCCESS muone kama Ugonjwa wa Ebola,kaa nae mbali...ACCEPT NOTHING BUT BEING SUCCESSFUL

Kazi biashara yako ni muhimu sana ipende hata kama inaingiza kidogo sio sawa na kuombaomba kwa wanaume tunadhalilika mda mwengine

word!!
 
HII MBONA ipo tuu sanaaa....Wanaume sijui wanakuwaga na uwazimu...MIUWIVU miingi..Ukiona mwanaume hivi ujue huyu anamambo yake hataki uyajue....
Yaani wanawake ni wengi sanaaa wameachishwa kazi kisa mume..hasa wengi Waislam...

Nyie wanaume mshindweee na mlegee..

Mwanamke akifanya kazi akiingiza 50 akakusaidia hata kununua nguo zake za ndani na za mtoto ujue huo ni msaada wewe utatoa 100 badala ya 150....BADILI TABIA




Nimeikuta sehemu nikaipenda

Kama kuna kitu chochote kinachozuia wewe usiwe SUCCESSFUL kiondoe kwenye maisha yako..Kuna watu tangu WAMEOLEWA na biashara zao zimekufa,eti mme hataki ufanye biashara ukae home ataprovide..ANA WAZIMU!Kuna leo na kesho..Sawa leo ataprovide,akianguka ghafla akafa??nani ataprovide??Kuna vitu vya kukubali WANAWAKE,Mwanaume aje akupende as ur..Akikukuta wewe ni Hustler akusaidie uwe HUSTLER ZAIDI na sio kukutoa kutoka KUHUSTLE hadi kuwa Golikipa...AFIE MBELE!
Kuna wale ambao Wazazi wao ni vikwazo..Hawataki wafanye biashara..Ukiona mzazi wako HAKUSUPPORT wala usijali..Fanya mambo yako kimyakimya halafu siku 1 MSHANGAZE..Mpeleke kwenye ofisi yako Mpe Tour,mwambie DAD THIS IS ME...Hakuna kitu kizuri kama kuprove wrong watu wasiokuamini...Babangu mzazi ni NON BELIEVER wa BUSINESS...Na mpaka leo sijamwambia kama Ajira nimeacha iam on my own(Kama unamjua usimwambie),coz najua angenikatisha tamaa,ipo siku nitamuita nimuonyeshe what i do abaki mdomo wazi...USIKUBALI kitu chochote ambacho kinaua SUCCESS yako...Awe Boyfriend..Awe Girlfriend..Awe Mme..Awe Mke..Awe Mzazi,Tafuta mbinu za kuendelea kuwa Successful hata kama utalipa gharama kubwa..
Kuna mtu anakwambia,"Babe wangu hataki niuze tena Chupi anasema namdhalilisha",eti mtu anafunga biashara yake kisa NEW BEBI kamwambia ni bness inamdhalilisha..Ukipata mtu ambaye anakutoa kutoka KUTENGENEZA HELA YAKO hadi kuwa Ziro kusubiri AKUHONGE huyo ni SHETANI...Hakutakii mema...Mapenzi yenyewe haya ya kibwege ya siku hizi,unaua biashara mnakaa mwaka mmepigana chini...Umepoteza Baby na Biashara...KATAA UJINGA!
Kama mtu uliyenaye ni AGAINST SUCCESS muone kama Ugonjwa wa Ebola,kaa nae mbali...ACCEPT NOTHING BUT BEING SUCCESSFUL

Kazi biashara yako ni muhimu sana ipende hata kama inaingiza kidogo sio sawa na kuombaomba kwa wanaume tunadhalilika mda mwengine
 
HII MBONA ipo tuu sanaaa....Wanaume sijui wanakuwaga na uwazimu...MIUWIVU miingi..Ukiona mwanaume hivi ujue huyu anamambo yake hataki uyajue....
Yaani wanawake ni wengi sanaaa wameachishwa kazi kisa mume..hasa wengi Waislam...

Nyie wanaume mshindweee na mlegee..

Mwanamke akifanya kazi akiingiza 50 akakusaidia hata kununua nguo zake za ndani na za mtoto ujue huo ni msaada wewe utatoa 100 badala ya 150....BADILI TABIA



Mi naona huwa hawathamin mchango wa ke

Na pia wanaofia wasijulikane mambo yao wayafanyayo huko njer
 
HALAFU wanaume wengine wana SWAGAA anakuambia...kwani wewe huko unalipwa sh. ngapi hasa, au kwani huko unapata sh. ngapi hasa...Kaa hapa nyumbani mimi ntakulipa mshahara ...na anakutajia kiasi.....Sasa kaa weee utang'aa macho mwezi wa kwanza, wa pili hakuna Mshahara wala Mshobobo...Unaishilia kuomba na siku ya siku anakutema vile vile wewe na watoto km hawajui




 
Uko sahihi ndugu haya mahaba ya kubebana mwisho wa siku unaangukia pua . Hii naiita shule bila ada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom