Usiache kazi sababu ya mapenzi

Usiache kazi sababu ya mapenzi

mwalimumzalendo1

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
1,098
Reaction score
406
Nimeikuta sehemu nikaipenda

Kama kuna kitu chochote kinachozuia wewe usiwe SUCCESSFUL kiondoe kwenye maisha yako..Kuna watu tangu WAMEOLEWA na biashara zao zimekufa,eti mme hataki ufanye biashara ukae home ataprovide..ANA WAZIMU!Kuna leo na kesho..Sawa leo ataprovide,akianguka ghafla akafa??nani ataprovide??Kuna vitu vya kukubali WANAWAKE,Mwanaume aje akupende as ur..Akikukuta wewe ni Hustler akusaidie uwe HUSTLER ZAIDI na sio kukutoa kutoka KUHUSTLE hadi kuwa Golikipa...AFIE MBELE!
Kuna wale ambao Wazazi wao ni vikwazo..Hawataki wafanye biashara..Ukiona mzazi wako HAKUSUPPORT wala usijali..Fanya mambo yako kimyakimya halafu siku 1 MSHANGAZE..Mpeleke kwenye ofisi yako Mpe Tour,mwambie DAD THIS IS ME...Hakuna kitu kizuri kama kuprove wrong watu wasiokuamini...Babangu mzazi ni NON BELIEVER wa BUSINESS...Na mpaka leo sijamwambia kama Ajira nimeacha iam on my own(Kama unamjua usimwambie),coz najua angenikatisha tamaa,ipo siku nitamuita nimuonyeshe what i do abaki mdomo wazi...USIKUBALI kitu chochote ambacho kinaua SUCCESS yako...Awe Boyfriend..Awe Girlfriend..Awe Mme..Awe Mke..Awe Mzazi,Tafuta mbinu za kuendelea kuwa Successful hata kama utalipa gharama kubwa..
Kuna mtu anakwambia,"Babe wangu hataki niuze tena Chupi anasema namdhalilisha",eti mtu anafunga biashara yake kisa NEW BEBI kamwambia ni bness inamdhalilisha..Ukipata mtu ambaye anakutoa kutoka KUTENGENEZA HELA YAKO hadi kuwa Ziro kusubiri AKUHONGE huyo ni SHETANI...Hakutakii mema...Mapenzi yenyewe haya ya kibwege ya siku hizi,unaua biashara mnakaa mwaka mmepigana chini...Umepoteza Baby na Biashara...KATAA UJINGA!
Kama mtu uliyenaye ni AGAINST SUCCESS muone kama Ugonjwa wa Ebola,kaa nae mbali...ACCEPT NOTHING BUT BEING SUCCESSFUL

Kazi biashara yako ni muhimu sana ipende hata kama inaingiza kidogo sio sawa na kuombaomba kwa wanaume tunadhalilika mda mwengine
 
Hata ikibidi kuuza uchi wako ? hata ukimwasi MUNGU ? Baba yupi hamtakii mema mwanae
 
Nimeikuta sehemu nikaipenda

Kama kuna kitu chochote kinachozuia wewe usiwe SUCCESSFUL kiondoe kwenye maisha yako..Kuna watu tangu WAMEOLEWA na biashara zao zimekufa,eti mme hataki ufanye biashara ukae home ataprovide..ANA WAZIMU!Kuna leo na kesho..Sawa leo ataprovide,akianguka ghafla akafa??nani ataprovide??Kuna vitu vya kukubali WANAWAKE,Mwanaume aje akupende as ur..Akikukuta wewe ni Hustler akusaidie uwe HUSTLER ZAIDI na sio kukutoa kutoka KUHUSTLE hadi kuwa Golikipa...AFIE MBELE!
Kuna wale ambao Wazazi wao ni vikwazo..Hawataki wafanye biashara..Ukiona mzazi wako HAKUSUPPORT wala usijali..Fanya mambo yako kimyakimya halafu siku 1 MSHANGAZE..Mpeleke kwenye ofisi yako Mpe Tour,mwambie DAD THIS IS ME...Hakuna kitu kizuri kama kuprove wrong watu wasiokuamini...Babangu mzazi ni NON BELIEVER wa BUSINESS...Na mpaka leo sijamwambia kama Ajira nimeacha iam on my own(Kama unamjua usimwambie),coz najua angenikatisha tamaa,ipo siku nitamuita nimuonyeshe what i do abaki mdomo wazi...USIKUBALI kitu chochote ambacho kinaua SUCCESS yako...Awe Boyfriend..Awe Girlfriend..Awe Mme..Awe Mke..Awe Mzazi,Tafuta mbinu za kuendelea kuwa Successful hata kama utalipa gharama kubwa..
Kuna mtu anakwambia,"Babe wangu hataki niuze tena Chupi anasema namdhalilisha",eti mtu anafunga biashara yake kisa NEW BEBI kamwambia ni bness inamdhalilisha..Ukipata mtu ambaye anakutoa kutoka KUTENGENEZA HELA YAKO hadi kuwa Ziro kusubiri AKUHONGE huyo ni SHETANI...Hakutakii mema...Mapenzi yenyewe haya ya kibwege ya siku hizi,unaua biashara mnakaa mwaka mmepigana chini...Umepoteza Baby na Biashara...KATAA UJINGA!
Kama mtu uliyenaye ni AGAINST SUCCESS muone kama Ugonjwa wa Ebola,kaa nae mbali...ACCEPT NOTHING BUT BEING SUCCESSFUL

Kazi biashara yako ni muhimu sana ipende hata kama inaingiza kidogo sio sawa na kuombaomba kwa wanaume tunadhalilika mda mwengine

Pokea like 10.......nshawahi kua na rafiki angu alikuwa anafanya kaz kwenye kampuni fulani aliachishwa kaz na jidume lake et akifanya kaz anakua na michepuko mfyuuuuuu nlimuonya sana kuhusu hilo nakumsihi amuache koz wazaz wake walimsomesha kwa shida but hakunisikilza nakuniona namuonea wivu ..........mwanaume kamuacha kaz kaachishwa yupo tu ajielewi.........kivyangu mm siwez kubali mtu aniachishe kazi au kunikataza kufanya biashara
 
Pokea like 10.......nshawahi kua na rafiki angu alikuwa anafanya kaz kwenye kampuni fulani aliachishwa kaz na jidume lake et akifanya kaz anakua na michepuko mfyuuuuuu nlimuonya sana kuhusu hilo nakumsihi amuache koz wazaz wake walimsomesha kwa shida but hakunisikilza nakuniona namuonea wivu ..........mwanaume kamuacha kaz kaachishwa yupo tu ajielewi.........kivyangu mm siwez kubali mtu aniachishe kazi au kunikataza kufanya biashara

Umeona ee unakosa vyote pamoja bora utete kaz yako ya mwengine haiwez kukunufaisha kamwe
 
Kuna mmoja alitaka kuniharibia ili network za biashara zangu binafsi niziache na kujidai kuniita "Malaya" sikuacha.sana sana nilimwambia anaweza tu kutembeza p**m jiji lina wanawake wengi akatafute.
 
Hata ikibidi kuuza uchi wako ? hata ukimwasi MUNGU ? Baba yupi hamtakii mema mwanae

Si ulimkuta anauza? Ukampenda mwache aendelee kuuza ndo kazi yake

Nahisi hujaelewa kuna wazazi wanayofautiana katika malengo na imani za watoto wao katika kazi fulani
 
Kuna mmoja alitaka kuniharibia ili network za biashara zangu binafsi niziache na kujidai kuniita "Malaya" sikuacha.sana sana nilimwambia anaweza tu kutembeza p**m jiji lina wanawake wengi akatafute.

Hahahahahaaa wanawake wa karne ya 21 mna minenooo..... Ulisema anaweza kutembeza nini? Hahahaa
 
Kuna mmoja alitaka kuniharibia ili network za biashara zangu binafsi niziache na kujidai kuniita "Malaya" sikuacha.sana sana nilimwambia anaweza tu kutembeza p**m jiji lina wanawake wengi akatafute.

Hahahaha asanteee
 
Mwalimu,hivi umeolewa wewe?

Natafuta mchumba!
 
Nimeipenda hii mada, big up! Lakini kuna circumstances kama hizi:
1. Unafanya biashara ambayo haina future lakini mpenzi wako anafikiria kuwa ni bora ubadilishe biashara. Mnakaa na kujadili mapungufu na mazuri ya bishara unayofanya mnalinganisha na ile anayokushauri ufanye. Kisha anaahidi na kukusupport hadi ufanikiwe. Hapo kwa mimi naona safi sana.
2.Unafanya kazi yenye kipato kidogo au mazingira ya kazi sio rafiki au si kazi ya kudumu, nk. Kisha anakutafutia kazi ambayo ni bora zaidi na hili ni baada ya kukaa mkaongea. Pia naona poa kabisa.
Sio wale wabinafsi wenye wivu kuwa ukifanya kazi utamcheat, au wale wanaopenda kutawala anaona ukishika hela heshima na unyenyevu kwake vitapungua. Yaani anataka umwombe hela ili akujibu ovyo, akae kimya bila kujibu au akuahidi bila kutekeleza. Huyu usimsikilize kabisa.
 
Nimeipenda hii mada, big up! Lakini kuna circumstances kama hizi:
1. Unafanya biashara ambayo haina future lakini mpenzi wako anafikiria kuwa ni bora ubadilishe biashara. Mnakaa na kujadili mapungufu na mazuri ya bishara unayofanya mnalinganisha na ile anayokushauri ufanye. Kisha anaahidi na kukusupport hadi ufanikiwe. Hapo kwa mimi naona safi sana.
2.Unafanya kazi yenye kipato kidogo au mazingira ya kazi sio rafiki au si kazi ya kudumu, nk. Kisha anakutafutia kazi ambayo ni bora zaidi na hili ni baada ya kukaa mkaongea. Pia naona poa kabisa.
Sio wale wabinafsi wenye wivu kuwa ukifanya kazi utamcheat, au wale wanaopenda kutawala anaona ukishika hela heshima na unyenyevu kwake vitapungua. Yaani anataka umwombe hela ili akujibu ovyo, akae kimya bila kujibu au akuahidi bila kutekeleza. Huyu usimsikilize kabisa.

Kuna watu ni wa.shenzi anamuachisha mkewe kazi bila sababu za msingi au anakuwa na wivuu hadi anamualibia biashara zake haaaaj
 
Hahahahahaaa wanawake wa karne ya 21 mna minenooo..... Ulisema anaweza kutembeza nini? Hahahaa

Hakuna haja ya kuishi kinafiki,bora kuwa mkweli uonekane mbaya lakini timiza malengo yako.Ukiendekeza mwanamme mjinga utaishi kwa stress sana,maana hata ulifubaa kwa shida hupati hata was kukupa salamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom