Katika hali isiyokuwa inatarajiwa ushuru wa soko umerejeshwa bila kujali kiwango cha mazao/mizingo inayoletwa masokoni.
Kutokana na tamko la Rais kuwa wakulima ambao wataingiza sokoni mazao yao, kusafirisha mizigo ya mazao ambayo itakuwa chini ya tani moja hawatalipishwa ushuru, cha kushangaza Jana nikiwa kwenye soko nilimsikia Afisa mtendaji wa kata akitangaza kuwa kila mwananchi atakaye hudhulia sokoni na kiasi chochote cha mazao atatakiwa kulipia ushuru waTsh 500.
Sasa swali ni je, ni mazingira gani yaliyomkuta rais wa wanyonge hadi akaamua kuurejesha ushuru huu?
Je, ni picha gani inaonekana kwa watanzania kugeukwa ghafla na kuanza kutozwa ushuru huo, au ndiyo tuseme kuwa wanyonge wameisha Tanzania waliobaki wanapaswa walipe ushuru?
Je, kudanganya watu wazima ndiyo ukomavu wa kisiasa kwa ajili ya kujipatia vyeo/nafasi za kiuongozi?
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu ibariki Afrika.
Nawasilisha kwenu tujadili , matusi hayaruhusiwi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutokana na tamko la Rais kuwa wakulima ambao wataingiza sokoni mazao yao, kusafirisha mizigo ya mazao ambayo itakuwa chini ya tani moja hawatalipishwa ushuru, cha kushangaza Jana nikiwa kwenye soko nilimsikia Afisa mtendaji wa kata akitangaza kuwa kila mwananchi atakaye hudhulia sokoni na kiasi chochote cha mazao atatakiwa kulipia ushuru waTsh 500.
Sasa swali ni je, ni mazingira gani yaliyomkuta rais wa wanyonge hadi akaamua kuurejesha ushuru huu?
Je, ni picha gani inaonekana kwa watanzania kugeukwa ghafla na kuanza kutozwa ushuru huo, au ndiyo tuseme kuwa wanyonge wameisha Tanzania waliobaki wanapaswa walipe ushuru?
Je, kudanganya watu wazima ndiyo ukomavu wa kisiasa kwa ajili ya kujipatia vyeo/nafasi za kiuongozi?
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu ibariki Afrika.
Nawasilisha kwenu tujadili , matusi hayaruhusiwi.
Sent using Jamii Forums mobile app