Goheki
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 448
- 387
Binadamu tunatofautiana,ujasiri na maamuzi ya wenzetu huko A.kusini wameandamana kwa sababu ya ushuru wa barabara kutoka mji wa J,burg kwenda Pritoria,Tz watu wanakufa hospital tunabaki kulalamika tu bila kuchukua maamuzi magumu,rais yupo na taarifa za kujithamini. source Itv.