ANC-KWA ZULU NATAL
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 325
- 38
Baada ya vuta ni kuvute za siasa za minyukano ndani ya ccm hatmaye lowasa ameibuka shujaa...njia alizoptia lowasa kufkia kukubalika hii leo.
1.lowasa alikuwa achukue fomu ya kugombea urais 2005 jk akamuomba lowasa astshe kuchukua fomu ya kugombea urais waungane wakpata jk atakuwa rais 5yrs 2005 hadi 2010 amwachie lowasa 2010 hadi 2015 na baada ya apo wafanye mzunguko kila mmoja kukamilisha miaka kumi kikatba kama rusia wanavyofanya putin na medved kufka 2008 jka akaona ikulu tamua akamtengenezea lowasa kashfa ya rchmond wakat jk ndio mwasisi wa rchmond.
2.wazri mkuu wa jk alkuwa awe sita baada ya makubaliano ya jk na lowasa ya kuungana sta akapgwa chini uwazri mkuu ugomvi wa sta na lowasa ukaanzia apo ila kwa wadadisi wa mambo wanasema bifu alilonalo sita dhidi ya kikwete ni kubwa kulko alilo nalo dhidi ya lowasa anaamini jk almsalti kwenye uwazri mkuu na kwenye uspka...
3.lakini mwsho ya yote kiongoz aliyebaki imara ndan ya ccm na mwenye ushawishi na nguvu ya kila aina yaani kijamii,kiuchumi na kisiasa ni lowasa...2015 ccm wakitaka chama chao kife wamtose lowasa waone 98% ya wana ccm wana mkubali lowasa na 80% ya watanzania wasio wanaccm wanamkubali lowasa kama lowasa
1.lowasa alikuwa achukue fomu ya kugombea urais 2005 jk akamuomba lowasa astshe kuchukua fomu ya kugombea urais waungane wakpata jk atakuwa rais 5yrs 2005 hadi 2010 amwachie lowasa 2010 hadi 2015 na baada ya apo wafanye mzunguko kila mmoja kukamilisha miaka kumi kikatba kama rusia wanavyofanya putin na medved kufka 2008 jka akaona ikulu tamua akamtengenezea lowasa kashfa ya rchmond wakat jk ndio mwasisi wa rchmond.
2.wazri mkuu wa jk alkuwa awe sita baada ya makubaliano ya jk na lowasa ya kuungana sta akapgwa chini uwazri mkuu ugomvi wa sta na lowasa ukaanzia apo ila kwa wadadisi wa mambo wanasema bifu alilonalo sita dhidi ya kikwete ni kubwa kulko alilo nalo dhidi ya lowasa anaamini jk almsalti kwenye uwazri mkuu na kwenye uspka...
3.lakini mwsho ya yote kiongoz aliyebaki imara ndan ya ccm na mwenye ushawishi na nguvu ya kila aina yaani kijamii,kiuchumi na kisiasa ni lowasa...2015 ccm wakitaka chama chao kife wamtose lowasa waone 98% ya wana ccm wana mkubali lowasa na 80% ya watanzania wasio wanaccm wanamkubali lowasa kama lowasa