Ushuhuda wa kutisha kuhusu uchawi

Ushuhuda wa kutisha kuhusu uchawi

Kumloga raisi ni ngumu kwanza utampatia wapi? Pia raisi wa kiafrika haingii madarakani kilofa kuna watu wanamfuata ikulu kumuweka sawa.Zaidi ya yote watu wa dini zote wanakwenda kumuombea mchawi na shetani hawezi msogelea.
Unakumbuka wakati Nyerere anaaga wazee wa Dar kabla hajaamua kung'atuka kuachia ngazi ya uenyekiti wa chama? wakati huo alishaachia uraisi toka mwaka 1985?. alitoboa siri wazee kina Jumbe Tambaza walimfanyia nini mlingotini Bagamoyo? ili mkoloni akimbie mwenyewe?
Ndio hicho wanataka uwaoneshe kwa macho wakuamini tofauti na hapo mtajibizana asubuhi hadi asubuhi!

Hapana kuhusu nyerere sijui kitu mkuu mwenyewe nimeyakuta tu!
 
Ndio hicho wanataka uwaoneshe kwa macho wakuamini tofauti na hapo mtajibizana asubuhi hadi asubuhi!

Hapana kuhusu nyerere sijui kitu mkuu mwenyewe nimeyakuta tu!
Kumbe utawala wa Nyerere ulikuwa hujazaliwa?
Nyerere alikuwa mkristo mzuri tu ila wazee wale wa Dar wakaona kijana wao bwana mdogo asije jaribiwa na wamfanye mkoloni mwenyewe aondoke bwana Twining.
Wakamfanyia tambiko la kuchinja mbuzi akaambiwa aruke shimo.
Kesho yake alishauriwa afunge
 
Hii kama tangazo la biashara, usingeweka number ningeweza kuamini..usanii mtupu na inawezekana wewe ndio mungu kabile
 
Kumbe utawala wa Nyerere ulikuwa hujazaliwa?
Nyerere alikuwa mkristo mzuri tu ila wazee wale wa Dar wakaona kijana wao bwana mdogo asije jaribiwa na wamfanya mkoloni mwenyewe aondoke bwana Twining.
Wakamfanyia tambiko la kuchinja mbuzi akaambiwa aruke shimo.
Kesho yake alishauriwa afunge
Nilikuwa nmezaliwa ila nilikuwa sina uelewa wowote kwa wakati huo! Haya matambiko si ndio uchawi wenyewe huu au?
 
Nilikuwa nmezaliwa ila nilikuwa sina uelewa wowote kwa wakati huo! Haya matambiko si ndio uchawi wenyewe huu au?
Matambiko sio uchawi ni njia ya kumuomba MUNGU kwa njia mbadala
Tatizo moja ni kwamba dini hizi zilipokuja wakoloni walikuta babu zetu wana njia zao za kumuabudu MUNGU.
Sasa wakaita mila zetu ni za kishenzi kwa wakristo wasio na dini zao wakawaita wapagani na waislam wakawaita makafiri.

Kwa hiyo kila tulichokuwa tunaabudu kikaitwa ni cha kishetani.Kwa hiyo sasa dini hizi hizi tulizoletewa zilitumika kutuingiza mkenge tutawaliwe.
Askofu Desmond Tutu alipata kusema maneno haya ''Wakoloni walivyokuja walituletea biblia.Wakatuambia tufunge macho tuombe.Tulivyofunga macho baada ya kufungua tukakuta wamechukua ardhi yetu na sisi tumebaki na biblia''
 
Matambiko sio uchawi ni njia ya kumuomba MUNGU kwa njia mbadala
Tatizo moja ni kwamba dini hizi zilipokuja wakoloni walikuta babu zetu wana njia zao za kumuabudu MUNGU.
Sasa wakaita mila zetu ni za kishenzi kwa wakristo wasio na dini zao wakawaita wapagani na waislam wakawaita makafiri.

Kwa hiyo kila tulichokuwa tunaabudu kikaitwa ni cha kishetani.Kwa hiyo sasa dini hizi hizi tulizoletewa zilitumika kutuingiza mkenge tutawaliwe.
Askofu Desmond Tutu alipata kusema maneno haya ''Wakoloni walivyokuja walituletea biblia.Wakatuambia tufunge macho tuombe.Tulivyofunga macho baada ya kufungua tukakuta wamechukua ardhi yetu na sisi tumebaki na biblia''
Duhh😆😆
 
Back
Top Bottom