Ushuhuda: Ugonjwa wa Monkey poxy upo kuweni makini

Ushuhuda: Ugonjwa wa Monkey poxy upo kuweni makini

Apo ni Dawa za maumivu tu kama panadol na ya kupaka tu na usiku unaweza usilale ko mimi nilikuwa napiga na piriton ya mafua inaleta usingizi Mulua mpaka asubuhi
Du vipi vipele vinasambaa sana?maana hapo ndio balaa lilipo
 
Tiba zipo watu wanatumia na wanapona tu kirahisi tu. Hofu ndio adui mkuu
 
Back
Top Bottom