youngkato
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,640
- 3,642
Naandika hii thread nikiwa nimejiweka karantini, ukiona vipele havieleweki sehemu yoyote ya mwili hasa sehemu za siri nenda haraka hospitali.
Vipele vinakuwa kama vina shimo katikati, pembeni ni vyeupe, havitoi maji wala usaha ila vinasambaa kwa speed kali sana na vinakua hararaka sana.
Wagonjwa ni wengi sana ukizubaa unapelekwa karantini.
Dalili zake
Homa za muda mfupi
Kichwa kuuma sana
Ukienda kupima utaambiwa hakuna ugonjwa wowote
Kusikia baridi sana
Vipeleke sehemu za siri
Haumpati kila mtu ila ukikupata uwahi fasta kwa mtaalamu
Picha siweki zinatisha
Kanda ya ziwa vimesambaa sana
Kwenye bababshop zenu taulo moja inafuta vichwa 50 bila kufuliwa, au gest shuka linalaliwa wiki nzima na taulo kila mtu anajifutia.
Vipele vinakuwa kama vina shimo katikati, pembeni ni vyeupe, havitoi maji wala usaha ila vinasambaa kwa speed kali sana na vinakua hararaka sana.
Wagonjwa ni wengi sana ukizubaa unapelekwa karantini.
Dalili zake
Homa za muda mfupi
Kichwa kuuma sana
Ukienda kupima utaambiwa hakuna ugonjwa wowote
Kusikia baridi sana
Vipeleke sehemu za siri
Haumpati kila mtu ila ukikupata uwahi fasta kwa mtaalamu
Picha siweki zinatisha
Kanda ya ziwa vimesambaa sana
Kwenye bababshop zenu taulo moja inafuta vichwa 50 bila kufuliwa, au gest shuka linalaliwa wiki nzima na taulo kila mtu anajifutia.