Ushuhuda: Tuache kutafuta mahusiano MITANDAONI

Ushuhuda: Tuache kutafuta mahusiano MITANDAONI

X_INTELLIGENCE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
10,700
Reaction score
14,766

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.​
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    18.1 KB · Views: 212
  • unnamed.gif
    unnamed.gif
    64.6 KB · Views: 248
  • tumblr_mtpgnsoAr51rxi9lno1_500.gif
    tumblr_mtpgnsoAr51rxi9lno1_500.gif
    810.7 KB · Views: 262
"Tuache kutafuta mahusiano mitandaoni". Najaribu kujiuliza, hivi huwezi kukutana na mwathirika bar, barabarani, kanisani, kazini, beach na ukamtongoza na mkafanya yenu? Kwanini mnaisingizia mitandao? Mitandao ni sehemu ya kukutania kama zilivyosehemu nyngine bhana.
 
"Tuache kutafuta mahusiano mitandaoni". Najaribu kujiuliza, hivi huwezi kukutana na mwathirika bar, barabarani, kanisani, kazini, beach na ukamtongoza na mkafanya yenu? Kwanini mnaisingizia mitandao? Mitandao ni sehemu ya kukutania kama zilivyosehemu nyngine bhana.
Ata mimi nilikuwa na mtazamo kama wako siku ya kikukuta tutakuja kukushauri
 
Mhhh. Siku ta 3 unakula vitu bila hata kanda mbili na mabusu juu. Kama si urongo basi wewe huna akili. Kikwetu msichana akikubali ndani ya siku 3 kimbia kabisa. Tena achana naye.
 
"Tuache kutafuta mahusiano mitandaoni". Najaribu kujiuliza, hivi huwezi kukutana na mwathirika bar, barabarani, kanisani, kazini, beach na ukamtongoza na mkafanya yenu? Kwanini mnaisingizia mitandao? Mitandao ni sehemu ya kukutania kama zilivyosehemu nyngine bhana.
Mi mwenyewe nimekutana na msichana mzuri mtandaoni na ana tabia njema hadi raha. Social media zinarahisisha connections ila inategemea na akili ya mtumiaji anaiendesha vipi halmashauri ya kichwa chake!
 
Back
Top Bottom