kajojo njoo pm tumalizane. Hiyo figure ndio ugonjwa wanguSio kwa uwezo wako ni kwa Neema tu.
Kuna watu wana kula Vizur ila ndo hivyo tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana hujaona nikianzisha uzi wala kujisifu..miaka 17 ni michache sana,lengo nifikishe miaka 30 bila kuuona mlango wa hospital yoyote nikiwa kama mgonjwa
Sio kwa uwezo wako ni kwa Neema tu.
Kuna watu wana kula Vizur ila ndo hivyo tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mimi ngojea nianze,uzembe umezidi
ndio mana hata siuelewi huu mtumbo yani