Soyuncu
Senior Member
- Nov 20, 2019
- 193
- 228
Habari zenu wakuu polen na hii pandemic ya covid -19 hope mambo yanaenda poa.
Leo nimekuja na ushuhuda wangu bwana ikiwa nina miaka 3 na miezi kadhaa bila ya kuugua au kuumwa.. Ugonjwa wowote ule... ( Alhamdulillah)
Kama kumbukumbu zangu zilivyo kwenye diary yangu mara ya mwisho mimi kuumwa ilikua 03.02.2017. mpaka sasa tarehe 14.04.2020. Kwa maana nimetimiza miaka 3 na miez 2 na siku kadhaa..
Haya Ndio ninayofanya
1. Mazoezi
2. Sivuti sigala
3. Sinywi pombe
4. Sex ( safe )
5. Nakula sana matunda
Sometimes mida ya usiku naandaa tu sahani ya matunda ( but nikiwa na show na shemeji yenu ugali mkubwa LAZIMA uhusike)
6. Nazingatia maelezo ya afya
Kama kulala ndani ya chandarua, Kunawa mikono baada ya kutoka chooni, kuacha choo katika mazingira safi..
7. Shabiki mkubwa sana wa vyakula vya asili
Toka nimezaliwa mpaka sasa sijui nyama za kopo zinakuaje, samaki za kopo zinakuaje, siijui PIZZA wala BUGGER.. In short sio shabiki wa JUNKY FOOD.
Mafuta yangu ya kula natumia ya alizeti nimekosa sana natumia mawese.. Sikumbuki mara ya mwisho kunywa soda ni lini.. Chips napiga ila kwa kutoa hamu tu Nikila chips pemben Kuwe na msosi mwingine kidogo wa kujazilizia!! Tumbo in short chips + Zege nakula kutoa hamu tu.. Na Nikila napitiza hata miezi 6 kuja kula tena..
8. Nakunywa sana maji
Maji kwangu kama mafuta tu kwenye gari kwangu kunywa maji sio mpaka nihisi kiu.. Asubuhi nikiamka kabla ya kupiga mswaki au baada nakunywa Lita na nusu.
Niongeze kitu hapo kwenye mazoezi
Guys nimekua addicted wa mazoezi aiseh!! Siku nikimisi huwa siwi comfortable.. Kabisa. Mazoezi nafanya kwenye kiwanja cha mpira sijaona umuhimu wa kwenda gym wakati hatua kadhaa na ninapokaa kuna uwanja mkubwa tu wa mpira wa miguu..
Mazoezi yapo mengi sana ila naanzaga na jogging kwanza kuzunguka uwanja.. baada ya hapo yanafata mazoezi ya viungo.. & tumbo
PUSH- UP
Ni Zoez Zuli sana kwa sababu Una deal na Uzito halisi wa mwili wako. Binafsi kabla sijaanza kufanya mazoezi kupiga PUSH UP 3 ilikua kazi ngumu sana kwangu.. Ila kwa sasa napiga push up 30 bila ya kupumzika. Nilijifunza kuanza kupitia zile push za magoti ( kneel push- up)..
Licha ya kuto kuugua faida nyingine ninazo zipata kupitia mazoezi..
1. Sex
Hahahhaa aaah hapa bwana kuna balaa performance during sex inakua juu sana.. Hili shemeji yenu mwenyewe shahidi ila tu siwezi kusema mambo ya faragha ya shemeji..yenu hapa wala kumwambia yoyote yule.. Sijui kitandani anakuaje..!! Hata kama sijamuoa..
2. Mavazi
Kama unafanya mazoezi mwili wako Utaji shape vizuri sana ( kama ulikua mnene) so nguo zitakukaa vibaya Mno tofauti na mwili wako ukiwa irregular kuna nguo utazitamani ila utaishia kuziangalia tu..( hiki ndicho kitu ninachokipenda zaidi kwenye mazoezi mwili Una ji shape vizuri)
NB: Licha ya hayo yote ninayofanya ila naendelea kumshukuru mungu kwa kunipa SIHA njema..
Hizo za hapa chini ni baadhi tu ya route zangu kila siku asubuhi na jioni kumbuka
1mile = 1.609 km
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nimekuja na ushuhuda wangu bwana ikiwa nina miaka 3 na miezi kadhaa bila ya kuugua au kuumwa.. Ugonjwa wowote ule... ( Alhamdulillah)
Kama kumbukumbu zangu zilivyo kwenye diary yangu mara ya mwisho mimi kuumwa ilikua 03.02.2017. mpaka sasa tarehe 14.04.2020. Kwa maana nimetimiza miaka 3 na miez 2 na siku kadhaa..
Haya Ndio ninayofanya
1. Mazoezi
2. Sivuti sigala
3. Sinywi pombe
4. Sex ( safe )
5. Nakula sana matunda
Sometimes mida ya usiku naandaa tu sahani ya matunda ( but nikiwa na show na shemeji yenu ugali mkubwa LAZIMA uhusike)
6. Nazingatia maelezo ya afya
Kama kulala ndani ya chandarua, Kunawa mikono baada ya kutoka chooni, kuacha choo katika mazingira safi..
7. Shabiki mkubwa sana wa vyakula vya asili
Toka nimezaliwa mpaka sasa sijui nyama za kopo zinakuaje, samaki za kopo zinakuaje, siijui PIZZA wala BUGGER.. In short sio shabiki wa JUNKY FOOD.
Mafuta yangu ya kula natumia ya alizeti nimekosa sana natumia mawese.. Sikumbuki mara ya mwisho kunywa soda ni lini.. Chips napiga ila kwa kutoa hamu tu Nikila chips pemben Kuwe na msosi mwingine kidogo wa kujazilizia!! Tumbo in short chips + Zege nakula kutoa hamu tu.. Na Nikila napitiza hata miezi 6 kuja kula tena..
8. Nakunywa sana maji
Maji kwangu kama mafuta tu kwenye gari kwangu kunywa maji sio mpaka nihisi kiu.. Asubuhi nikiamka kabla ya kupiga mswaki au baada nakunywa Lita na nusu.
Niongeze kitu hapo kwenye mazoezi
Guys nimekua addicted wa mazoezi aiseh!! Siku nikimisi huwa siwi comfortable.. Kabisa. Mazoezi nafanya kwenye kiwanja cha mpira sijaona umuhimu wa kwenda gym wakati hatua kadhaa na ninapokaa kuna uwanja mkubwa tu wa mpira wa miguu..
Mazoezi yapo mengi sana ila naanzaga na jogging kwanza kuzunguka uwanja.. baada ya hapo yanafata mazoezi ya viungo.. & tumbo
PUSH- UP
Ni Zoez Zuli sana kwa sababu Una deal na Uzito halisi wa mwili wako. Binafsi kabla sijaanza kufanya mazoezi kupiga PUSH UP 3 ilikua kazi ngumu sana kwangu.. Ila kwa sasa napiga push up 30 bila ya kupumzika. Nilijifunza kuanza kupitia zile push za magoti ( kneel push- up)..
Licha ya kuto kuugua faida nyingine ninazo zipata kupitia mazoezi..
1. Sex
Hahahhaa aaah hapa bwana kuna balaa performance during sex inakua juu sana.. Hili shemeji yenu mwenyewe shahidi ila tu siwezi kusema mambo ya faragha ya shemeji..yenu hapa wala kumwambia yoyote yule.. Sijui kitandani anakuaje..!! Hata kama sijamuoa..
2. Mavazi
Kama unafanya mazoezi mwili wako Utaji shape vizuri sana ( kama ulikua mnene) so nguo zitakukaa vibaya Mno tofauti na mwili wako ukiwa irregular kuna nguo utazitamani ila utaishia kuziangalia tu..( hiki ndicho kitu ninachokipenda zaidi kwenye mazoezi mwili Una ji shape vizuri)
NB: Licha ya hayo yote ninayofanya ila naendelea kumshukuru mungu kwa kunipa SIHA njema..
Hizo za hapa chini ni baadhi tu ya route zangu kila siku asubuhi na jioni kumbuka
1mile = 1.609 km
Sent using Jamii Forums mobile app
