Ushuhuda: Majuto ni mjukuu

Ushuhuda: Majuto ni mjukuu

Hapa utaweza kutofautisha kati ya single moms na walioko ktk ndoa. Kwa kujishaua…………………… ndio wenyewe sasa, wanajifanyaga kama vile mbona poa tu huku viroho vyao vikiugulia maumivu.

Yaani mtu ulikuwa unaishi kwenye ndoa yako fresh bila shida, umeleta upuuzi ukatimliwa, unaishi maisha hayana muelekeo bado kuna nungayembe linakuja na coment, eti mbona kuna wanawake wanaishi bila waume na wako poa tu.......ptuuuuuu! (unashadadia upuuzi)
Alijijui
 
1.Story kwanza ndefu mpaka inachosha

2. Kuna uongo ndani yake

3.Huyo Frank hakukuroga wala nn ila tamaa tu
 
Huwa sisomi au kuangalia story zisizo na uhalisia nimegundua niyauongo pale kelvin alipoondoka hivi hivi tu kirahisi rahisi najuta muda nilioupoteza
 
Watu wanajifunza kwa makosa. Hii itasomwa itapitia nyuma siku yakimkuta mtu ndiyo anaikumbuka. Endeleeni kutoka nje ya ndoa zenu na msiache. Shetani akikupitia vaa nguo zako jipodoe mwende wote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom