Changamoto2015
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 773
- 313
Tumesikia mengi kuhusu kilimo cha mitiki kwamba kinalipa. Tafadhali mwenye ushuhuda na hii biashara atupe abcd .....ya namna gani biashara hii inafanyika baada ya kupanda mpaka miti inapokuwa imekomaa.