Nejad Rocket
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 298
- 197
Wadau habari zenu
Katika mazungumzo ya vijiweni jana kuna jamaa akatukatia kuwa ukichinja paka ukamwaga damu mlangoni kwa mtu, wote wanaoishi hapo watapata mikosi mfululizo.
Nilijaribu kwa mtu niliyemlenga amechakaa sana hivi aasa. Nawashauri msijaribu ni hatari sana.
Katika mazungumzo ya vijiweni jana kuna jamaa akatukatia kuwa ukichinja paka ukamwaga damu mlangoni kwa mtu, wote wanaoishi hapo watapata mikosi mfululizo.
Nilijaribu kwa mtu niliyemlenga amechakaa sana hivi aasa. Nawashauri msijaribu ni hatari sana.