Ushoga hapana Tanzania: Let's say #NoToLoveWins

Ushoga hapana Tanzania: Let's say #NoToLoveWins

Jerick06

Member
Joined
May 2, 2014
Posts
51
Reaction score
15
Nimesikitishwa sana sana na sheria za Marekani pamoja na viongozi wake, akiwamo Potus Barack Obama, John Kerry pamoja na vioo vya jamii, kama Leonardo DiCaprio.

Jamani, mimi si-support hata kidogo USHOGA pamoja na ITIKADI ZAKE. Pengine Kwangu ndo Ikawa ndio sababu ya kutokutembelea au kuingia nchi yoyote inayosupport ushoga, kwanini isiwezakane. Ni nadhiri tu.

Kama ndio maendeleo basi ninafurahi kuitwa SOKWE tena kurudi nyuma zaidi ya sokwe hata uniite zinjathropus. Najua nina marafiki walio katika nchi zinazo support ushoga, hii post sio kwa ajili ya kuharibu mahusihano yetu kama marafiki au jamaa wa karibu. Kwani naamini hata wao wanachukua na wanapiga vita masuala ya USHOGA kuanzia katika familia zao hadi jumuiya ya watu kwa ujumla.

Mimi sija-support na nimekerwa sana.
 
hahahhahaaaa...zinjanthropus..umenikumbusha mbali
 
Nani alikwambia wao wana-support? Sidhani kama unawaelewa vizuri ..
wewe ndo ufwatilie mambo

Read Obama’s Speech About Same-Sex Marriage Ruling
12:40 PM ET SHARE

Obama gave this speech after the historic Supreme Court ruling on Friday

Our nation was founded on a bedrock principle that we are all created equal. The project of each generation is to bridge the meaning of those founding words with the realities of changing times—a never-ending quest to ensure those words ring true for every single American

Progress on this journey often comes in small increments. Sometimes two steps forward, one step back, compelled by the persistent effort of dedicated citizens. And then sometimes there are days like this, when that slow, steady effort is rewarded with justice that arrives like a thunderbolt.

This morning, the Supreme Court recognized that the Constitution guarantees marriage equality. In doing so, they have reaffirmed that all Americans are entitled to the equal protection of the law; that all people should be treated equally, regardless of who they are or who they love.

This decision will end the patchwork system we currently have. It will end the uncertainty hundreds of thousands of same-sex couples face from not knowing whether they’re marriage, legitimate in the eyes of one state, will remain if they decide to move or even visit another.

This ruling will strengthen all of our communities by offering to all loving same-sex couples the dignity of marriage across this great land.

SEE SCENES OF CELEBRATION AFTER SUPREME COURT GAY MARRIAGE RULING
Supporters of same-sex marriage celebrate outside of the Supreme Court in Washington, on June 26, 2015.
Supporters of same-sex marriage celebrate outside of the Supreme Court in Washington, on June 26, 2015.
Gay rights supporters celebrate after the U.S. Supreme Court ruled that the U.S. Constitution provides same-sex couples the right to marry, outside the Supreme Court building in Washington, June 26, 2015.
Supporters of same-sex marriage celebrate outside of the Supreme Court in Washington, on June 26, 2015.
Jacquelyn Martin—AP
Supporters of same-sex marriage celebrate outside of the Supreme Court in Washington, on June 26, 2015.
1 of 8
In my second inaugural address, I said that if we are truly created equal, then surely the love we commit to one another must be equal as well. It is gratifying to see that principle enshrined into law by this decision.

This ruling is a victory for Jim Obergefell and the other plaintiffs in the case. It’s a victory for gay and lesbian couples who have so long for their basic civil rights. It’s a victory for their children, whose families will now be recognized as equal to any other. It’s a victory for the allies and friends and supporters who spent years, even decades working and praying for change to come.
 
Love is love .... masuala ya upendo ni binafsi na mashoga hawatudhuru chochote kuliko mafisadi zidi wengi wana mchango mkubwa tunao hitaji katika jamii.
 
kuna mtangaza nia mmoja akipita tumeumia jamaa mkipa nchi tu anatia tiki ukaumuluti hapa bongo.
 
Love is love .... masuala ya upendo ni binafsi na mashoga hawatudhuru chochote kuliko mafisadi zidi wengi wana mchango mkubwa tunao hitaji katika jamii.

Navumilia kuwa na uraia Sawa na Wewe..NAVUMILIA
 
This ruling is a victory for Jim Obergefell and the other plaintiffs in the case. It's a victory for gay and lesbian couples who have so long for their basic civil rights.

It's a victory for their children, whose families will now be recognized as equal to any other. It's a victory for the allies and friends and supporters who spent years, even decades working and praying for change to come.

Victory fo their children?? Which children??? Shaking my head
 
Mtoa mada..Ata usisuse cz soon dunia nzm itayaruhusu Aya Mambo..Wewe safiri, enjoy life..maisha ni mafupi sana
 
Love is love .... masuala ya upendo ni binafsi na mashoga hawatudhuru chochote kuliko mafisadi zidi wengi wana mchango mkubwa tunao hitaji katika jamii.

Kwaio unasApport ushoga na usagaji?
 
Navumilia kuwa na uraia Sawa na Wewe..NAVUMILIA
Mkuu dunia hii tunapita tu kama wewe una furaha kuonyesha upendo wako kwa mtu fulani huna haki ya kumzuia na mwingine kuonyesha upendo wa upande ambao hautaki kweli upendo wa watu hautudhuru kitu.
 
Mkuu dunia hii tunapita tu kama wewe una furaha kuonyesha upendo wako kwa mtu fulani huna haki ya kumzuia na mwingine kuonyesha upendo wa upande ambao hautaki kweli upendo wa watu hautudhuru kitu

Afu cjui km unajua nn maana ya Upendo
 
Love is love .... masuala ya upendo ni binafsi na mashoga hawatudhuru chochote kuliko mafisadi zidi wengi wana mchango mkubwa tunao hitaji katika jamii.

We shoga peleke unge.se wako huko huko kwa Obama..eti Love is love,,,what kind of love? A dude hitting another dude is what you call love?No that's sodomy and fuckery and I say no to it. It's insanity that don't make sense even with dogs. Even dogs are sane enough not to mount on other dogs of same orientation. And this has got nothing to do with religion..Over 90% of Chinese are non-religious and they are against this insanity. And this is why for sure America is becoming a big joke to the world right now.No one takes them serious not anymore...Eishh I really fear for my kids!!
 
We shoga peleke unge.se wako huko huko kwa Obama..eti Love is love,,,what kind of love? A dude hitting another dude is what you call love?No that's sodomy and fuckery and I say no to it. It's insanity that don't make sense even with dogs. Even dogs are sane enough not to mount on other dogs of same orientation. And this has got nothing to do with religion..Over 90% of Chinese are non-religious and they are against this insanity. And this is why for sure America is becoming a big joke to the world right now.No one takes them serious not anymore...Eishh I really fear for my kids!!
Mkuu hii dunia ukitaka kukaa kwa amani bais jiwekee mipaka kwenye mambo ya kufuatilia ndio mana nasema masuala ya namna gani mtu aonyeshe upendo ni binafsi amerika ni progressive society wanajua nini wanafanya muda wa serikali kuwaamulia watu masuala binasfi umepita sana.
 
Back
Top Bottom