killo
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 401
- 94
Habari wapendwa,
Naomba kuuliza, eti kama hata mimi nikienda nje ya nchi yetu Pendwa Tanzania na ikatokea bahati mbaya nimefariki, ndugu zangu wakaamua kuurudisha mwili Tanzania kwaajili ya maziko,
SWALI: Naamini mtanzania ni mtanzania tu japokuwa haja ukana utanzania wake, Huu mwili/maiti inatozwa ushuru?
Ni hayo tuu, naomba kujuliswa / kuelimishwa...
Akhsanteni..
Naomba kuuliza, eti kama hata mimi nikienda nje ya nchi yetu Pendwa Tanzania na ikatokea bahati mbaya nimefariki, ndugu zangu wakaamua kuurudisha mwili Tanzania kwaajili ya maziko,
SWALI: Naamini mtanzania ni mtanzania tu japokuwa haja ukana utanzania wake, Huu mwili/maiti inatozwa ushuru?
Ni hayo tuu, naomba kujuliswa / kuelimishwa...
Akhsanteni..

