Wa mmoja
Member
- Aug 4, 2009
- 99
- 0
Inasemekana kwamba hawa majambazi walioiba katika Bank ya NMB wameshirikiana na Wanajeshi...Naomba kujuzwa zaidi kwa yeyote mwenye ufahamu kuhusu hilo.Taarifa ya habari ya chombo kimoja cha television kilisema "Sita wakamatwa,wanajeshi wahusika...kova agwaya kuwataja"
Kwa upande mwingine ukijiuliza sanaaaaa...jibu linakuja ndio wamehusika kwa sababu ukiangalia kwa namna moja au nyingine hawa majambazi walipata wapi hizo silaha za maangamizi?!kama vile hayo mabomu ya mkononi...!!!
Msaada wenu nauhitaji katika hili ili nipate kujua zaidi...!
Kwa upande mwingine ukijiuliza sanaaaaa...jibu linakuja ndio wamehusika kwa sababu ukiangalia kwa namna moja au nyingine hawa majambazi walipata wapi hizo silaha za maangamizi?!kama vile hayo mabomu ya mkononi...!!!
Msaada wenu nauhitaji katika hili ili nipate kujua zaidi...!