USHINDI wa Obama ni fundisho kwa wapinzani nchini Tanzania

Nnauye jr said:
4. Lakini ushindi kwa Obama ni dalili njema za kukubalika kwa fikra za kijamaa kwa Taifa kubwa na la kibepari duniani.....sasa tizameni upya itikadi zenu........

Sina tena shaka na maneno ya Dk. Masabuli, kwamba baadhi ya watu wa CCM wanafikiria kwa kutumia makalio:becky:. Haya ni mawazo yanayotokana na mtu kufikiri kwa kutumia makalio. USA, Obana na Ujamaa wapi na wapi? Ndio maana CCM haina dira wala mwelekeo wa kutuongoza:becky:.
 
Nnauye Jr mimi siamini kama ulikuwa unafuatilia huu uchaguzi au kama kawaida yako umekurupukia na matokeo tu, Takwimu zinaonesha mikutano ya Obama ndo ilikuwa in attract large crowds kuliko mikutano ya Romney na hiyi ilikuwa ni moja ya vigezo vya kupridict mshindi, usitaka kuleta propaganda zako hapa eti kujaza watu kwenye mikutano siyo kushinda uchaguzi, watu siyo wendawazimu waache shughuli zao waje kumsikiliza mtu ambaye hawamuungi mkono!

Tujadili mifumo yetu ya uchaguzi:
Je ni huru na haki, zinatoa fursa kwa wananchi kwa wingi kupiga kura, uchaguzi wa marekani shida ilikuwa watu wanaojitokeza kupiga kura ni wengi mno hivyo malalamiko yalikuwa uchache wa voting machines, lakini hapa kwetu watu wanazuiliwa kupigwa kura kwa mizengwe, mara CHAMA tawala kinanunua vitambulisho vya watu wasipige kura, mara wanahonga mawakala, mara wizi wa kura na vibweka kibao, huu uchaguzi ungekuwa wa tanzania tusingekuwa tunajua nani ni rais hadi wiki ijayo.

Nape na CHAMA chako mna mengi ya kujifunza kuliko upinzani, upinzani wanayajua haya ndo maana siku zote tunapigania mabadiliko!
 
Last edited by a moderator:
Kwa kifupi,Nape unadhalilisha cheo cha katibu wa Itikadi kwa kuandika vitu 'laini' kama hivi..
 
Nnauye Jr

Nitakubaliana na wewe kama 2015 mtamuweka mtu kama Obama which I doubt, Mgombea wenu ni EL ambaye ni tajiri kama Romney
 
Last edited by a moderator:
Nnauye Jr

Mafanikio yapi nyie mmeleta sasa; kujenga barabara na baada ya muda kidogo kuibomoa na kuijenga upya kana kwamba barabara ni hiyohiyo moja ndo mafanikio hayo!!!!!!!

Utendaji kazi wa Obama na kundi lake huwezi kuulinganisha na kundi lenu bwana. Jiandaeni vizuri kinyume na hapo watu wakikasilika patakua hapatoshi hapa Bongo.
 
Last edited by a moderator:
Dalili ya mvua ni mawingu, kazi ya Obama ilionekana toka hapo awali alipokuwa madarakani.Tujifunze na sisi watanzania
 
Acha hizo wewe huwezi kulinganisha uchaguzi uliojaa rushwa wa rais atokanae na ccm na wa marekani. kwanza mbali na kuimba kura kwa kuwatumia wasimamizi makada na waliochoka pamoja na rushwa ccm inashinda kwa kuwa sehemu kubwa ya wapigakura hasa wale wa vijijin wanakabiliwa na uwezo mdogo wa kupambanua mambo/issues. vinginevyo siku elimu ya uraia ikiingia barabara kwa watz hao ccm hamna chenu

Huwezi kumuwin mwanajamvi yeyote kwa kwa hoja isiyo na mashiko kama hiyo.

hiyo hoja subiri mkaitumie wakati wa kapen vijijin napo mtakuwammechelewa sana kwani kukicha watz wanazidi kuamka.
 
Kwa Mara ya kwanza nakubaliana na Nape. Fujo za Chadema zitajibiwa na kura za wanamchi. Kule Marecani Yule Romney Alikuwa na mikutano mikubwa iliyojaa watu. Wengi walifuata upepo tu.hongera Obama
 

kama rais mwenyewe mnaempgia chapuo ni zitto na wenzenu kule ni lowasa
hakiyanani lazima tuingie msituni safari hii
imetosha sasa..

Mkuu niko nyuma yako tafadhali siku hiyo ikifika usiniache,naitamani na kuihitaji sana siku hiyo,wajameni kwanza naona muda unachelewa.
 
Kwa Mara ya kwanza nakubaliana na Nape. Fujo za Chadema zitajibiwa na kura za wanamchi. Kule Marecani Yule Romney Alikuwa na mikutano mikubwa iliyojaa watu. Wengi walifuata upepo tu.hongera Obama
Walikuwa wanafanya fujo? Pole sana.
 
Kwa Mara ya kwanza nakubaliana na Nape. Fujo za Chadema zitajibiwa na kura za wanamchi. Kule Marecani Yule Romney Alikuwa na mikutano mikubwa iliyojaa watu. Wengi walifuata upepo tu.hongera Obama

Nakubaliana na wewe Mkuu kwa sababu kuna watu humu ndani hawapendi kufanya tathmini,kujaza watu wengi kwenye mikutano ya hadhara,kufanya fujo na kusababisha mauaji,siyo kigezo cha chama kukubalika,nakuunga mkono.
 
- the king of all social network media is here so relax and take back seat, Nape ndio ameinjinia kuhsindwa kwenu kwenye viti 27 vya udiwani na kuambulia 5 tu, so he knows what he is talking about just listen and take notes, kwa sababu na kwenye urais na ubunge mtapigwa tena kama watoto halafu mtatuletea maandamano yenu, watu wa ajabu sana unashindwa kura unaanza kuleta migomo? Ha1 ha! Ha! Ha!

Le mutuz!!

Another GARBAGE! CDM WALITETEA VITI VYAKE WEWE GAMBA UKANYANG'ANYWA VITI 3 Hivi ukirejea elimu yako ya hesabu ya darasa la pili nani mshindi hapo aliyepunguza au aliyeongeza %? karaga bao.
 
Kulinganisha giza na Nuru ni kutoitendea haki nuru yenyewe kama Nape anavyojaribu kufanya. Kinachowamaliza CCM ni UFISADI, RUSHWA, WIZI, UONGO NA KURITHISHANA MADARAKA. Haya mambo wewe Nape umeyaona marekani? kama hayapo US ujue lazima Obama angeshinda tu. Mitt Romney alitaka kuwa na sera mbadala ya kuwa favour wao matajiri na siyo kwamba sera za Obama hazikuwa zimefail na ndo maana ameshinda . Sera za Magamba zisizotekelezeka kamwe hazina viwango vya kufananishwa na za Marekani zinazotekelezeka
 
Ushindi wa Obama dhidi ya Romney ni fundisho zuri kwa upinzani nchini kwetu kama wataamua kujifunza, mafunzo muhimu sana kwa washindani wa kisiasa ni pamoja na;

1. Kiwango cha utekelezaji wa ahadi mbalimbali na mipango (Ilani ya uchaguzi) kwa wananchi ina nguvu kubwa katika kuwafanya wapiga kura kuamua nani wa kumpa kura wakati wa kupiga kura..... Kupigia kura mabadiliko au la....

2. Kelele nyngi na wingi wa wapiga kelele si kigezo cha kupata kura nyingi siku ya kupigiwa kura......mikakati na ukaribu na wapiga kura ambao huonyesha ni kiasi gani Chama kiko karibu na kuzijua changamoto zinazowakabili wapiga kura ni moja ya misingi mikubwa...

3. Kutumia muda mwingi kuponda mafanikio yaliyopatikana kwenye kipindi cha mshindani wako...hasa aliyeko madarakani hakusaidii kukufanya upate kura bali wenye akili zao wataona unawadharau na kuwaona wajinga kama vile hawaoni yaliyofanyika.....ndicho kilichommaliza Romney...

4. Lakini ushindi kwa Obama ni dalili njema za kukubalika kwa fikra za kijamaa kwa Taifa kubwa na la kibepari duniani.....sasa tizameni upya itikadi zenu........

Oh, YES Nape Nnauye... Inaonyesha kwenye TRUE DEMOCRACY MONEY cannot BUY VOTE's
Ni POLICIES na Kuchangia MAENDELEO ya the Majority People a REAL JEMBE na NYUNDO...


405100_371481096271173_1948784582_n.jpg


If ROMNEY angeshinda angekuwa the RICHEST US PRESIDENT EVER more than the ROCKEFELLER's and KENNEDY's
Hapo ndio inatueleza kuwa Wananchi Wanafuatilia HOJA za kuisaidia Wengi na SIO KUPENDELEA WACHECHE
 
Ushindi wa Obama dhidi ya Romney ni fundisho zuri kwa upinzani nchini kwetu kama wataamua kujifunza, mafunzo muhimu sana kwa washindani wa kisiasa ni pamoja na;

1. Kiwango cha utekelezaji wa ahadi mbalimbali na mipango (Ilani ya uchaguzi) kwa wananchi ina nguvu kubwa katika kuwafanya wapiga kura kuamua nani wa kumpa kura wakati wa kupiga kura..... Kupigia kura mabadiliko au la....
Napelape bwana! hivi unafikiri watanzania ni wajinga?hawaoni mama zao wanaolala mzungu wa nnne wodi za wazazi?
2. Kelele nyngi na wingi wa wapiga kelele si kigezo cha kupata kura nyingi siku ya kupigiwa kura......mikakati na ukaribu na wapiga kura ambao huonyesha ni kiasi gani Chama kiko karibu na kuzijua changamoto zinazowakabili wapiga kura ni moja ya misingi mikubwa...

3. Kutumia muda mwingi kuponda mafanikio yaliyopatikana kwenye kipindi cha mshindani wako...hasa aliyeko madarakani hakusaidii kukufanya upate kura bali wenye akili zao wataona unawadharau na kuwaona wajinga kama vile hawaoni yaliyofanyika.....ndicho kilichommaliza Romney...

4. Lakini ushindi kwa Obama ni dalili njema za kukubalika kwa fikra za kijamaa kwa Taifa kubwa na la kibepari duniani.....sasa tizameni upya itikadi zenu........
Napelape bwana! hivi akinamama kulala mzungu wa nne wodi za wazazi ni maendeleo?kugawa tshirt, khanga na pilau wakati wa uchaguzi ni maendeleo,acha kuropokaropoka bwana mdogo,!halafu wewe si ndio mwasisi wa CCJ vile?
watz wa leo sio wajinga.Rest in peace NYINYIEM.
 
Back
Top Bottom