VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Ushindi wa CHADEMA pale Arumeru umekuwa gumzo.Waonekana kama goli la kujifunga.Si hivyo.Ni ushindi wa sera dhidi ya hela.Ni ushindi wa ukombozi dhidi ya ujambazi na matanuzi.Hakuna sababu kuu zaidi ya kizazi cha Tanzania kuhitaji mabadiliko.Muda ndio huu.Yatasemwa mengi sana;CHADEMA inachaguliwa na watanzania wenyewe..