USHINDI WA 2020 UMEPATIKANA LEO

USHINDI WA 2020 UMEPATIKANA LEO

lastman

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
402
Reaction score
226
Ndugu wana jamii
Kwa hali ya mambo inavyo kwende na mswada wa habari ulio pitishwa leo serikali ya ccm aitazamii kuomba kura 2020 bali ni kuchukua ushindi,wamefunga mikutano ya kisiasa,muswada wa habari ndo huo umepita,mikopo hawatoi,watumishi wanateseka,walimu hawalipwi,wakaona hakuna sehemu nyengine ya kupata kura bali ni kufunga watu midomo kwa chochote watacho fanya..
wasiwasi wangu mkubwa upo 2025..
 
Mkuu wa kaya:- ikija tu Mimi naisaini
duhh bila kuupitia au kwenye draft ilijitoshelezaa HAHAHAHH
Tanzania Yangu Mungu akulinde na Uilinde Amani kwa uvumilivu ulionao
 
Mwaka 2025 hata mm na was was ila kwakuwa wakina jecha wengi sishangai kurudi tena madarakani. Hivyo hivyo kwa zenji.
 
AF_TANZ_GI.jpg
 
Back
Top Bottom