Pure Mathematics
Senior Member
- Mar 8, 2012
- 174
- 52
Hi JF! Naombeni kuuliza, hivi ushenga siku hizi ni ajira? Manake kuna sehem flan nilipita nikaona mabango yana-advertize madalalali, waganga n.k, pembeni yake nikaona bango linasomeka "MSHENGA ANAPATIKANA" contacts 0713...
Duh, nimeshangaa kwa kweli..
.Hahahaaaaa ni bango langu hilo....
Siku hizi kila kitu ni biashara....we hujajua tu hadi leo?
Siku hizi hata kuambukiza ukimwi ni dili mkuu. Kama unao jitangaze tu utafatwa na kupewa mchongo na wataalamu.
Siku hizi hata kuambukiza ukimwi ni dili mkuu. Kama unao jitangaze tu utafatwa na kupewa mchongo na wataalamu.
Hi JF! Naombeni kuuliza, hivi ushenga siku hizi ni ajira? Manake kuna sehem flan nilipita nikaona mabango yana-advertize madalalali, waganga n.k, pembeni yake nikaona bango linasomeka "MSHENGA ANAPATIKANA" contacts 0713...
Duh, nimeshangaa kwa kweli..
Siku hizi hata kuambukiza ukimwi ni dili mkuu. Kama unao jitangaze tu utafatwa na kupewa mchongo na wataalamu.
Duh! Hii kali!
Hahahaha!loya umeua lol!
Inaonekana nyinyi watoto wa geti kali hata breaking news za uswahilini hampati.duh! Kazi nzito.
Unadhani kila mtu anaishi tandale kwa mtogole.Inaonekana nyinyi watoto wa geti kali hata breaking news za uswahilini hampati.
Kwa mtogole kuna raha zake bana, wewe hauowi na wenzio wakioa unawalamba chabo na mke mnashare.Unadhani kila mtu anaishi tandale kwa mtogole.
Hahaha! Nimegundua kumbe ndio mana hutaki kuhamia Masaki...Kwa mtogole kuna raha zake bana, wewe hauowi na wenzio wakioa unawalamba chabo na mke mnashare.
Halaf Nitonye yuko wapi? najiskia kukumbushia kweli leoHahaha! Nimegundua kumbe ndio mana hutaki kuhamia Masaki...
Hahaha! Nimegundua kumbe ndio mana hutaki kuhamia Masaki...